kufuatia kipigo cha finalii ya kagame kutoka kwa yanga,azam bado inaendelea na migogoro yao na wachezaji wao safari hii wamemvunjia mkataba moses othiambo.Inashangaza cozwalitangaza kumaliza uasjili zamani sana lakini kummbe ni siasa 2:rant:
Umemsahau na yule aliyefia gesti
Dahhhhhh!kweli bana,kuna mchezaji mmoja wa Azam alifiaga guest maeneo ya sinza.......ilikua mwezi4 hivi kama sikosei.Umemsahau na yule aliyefia gesti
nimeamini ndugu lazima wafanane kama siyo ki'mwonekano(sura) basi hata kitabia, azam hawa ndugu zao simba wapo kama kaka zao,ona simba walivyoingia hasara:-
mbiyavanga,lino mosombo,mussa mude etc wote walivunjiwa mikataba huko walipokuwa wakapewa mafungu yao ya usajili wakalipiwa ticket za ndege na kulipiwa ma'hotel walipokuwa hapa bongo,wamecheza kagame tu wakawatimua,kwa vyovyote vile watakuwa wamewapa na pesa za kuwafunga mdomo mana'ke washikaji kimyaa....sasa ni mamillion mangapi hapo yamepotea,hapo sijamjumuisha danny mrwanda ambaye na yeye alishakula fungu lake, hiyo ndo simba bwana kama azam kwa blackberry sijui mchina
Dahhhhhh!kweli bana,kuna mchezaji mmoja wa Azam alifiaga guest maeneo ya sinza.......ilikua mwezi4 hivi kama sikosei.
Jamaa wakaizima skendo chini chini!