ESPN Africa Zipo kila kisumbuzi lakini lazima uombe ili uonyeshe siyo kwamba ziko by default kwenye kila kisumbuzi. Kwa visimbuzi vya wamiliki wa kibongo Azam TV anajitahidi kulinganisha na wengine ukiwaondoa DSTV.Sasa hizo zote ukitoa ya Rwanda si zinarushwa na FOX Sports Africa 1&2 ambayo hivi sasa inaenda kuitwa ESPN Africa ambayo iko kwenye kila kisimbuzi.
.
MLS ndio angalau inaonyeshwa mechi nyingi na hii huwezi kuifatilia mechi zake nyingi ni kuanzia saa saba usiku hadi alfajili.
.
Kwa hiyo ndio kitu cha kuwapongeza Azam au hujui kuwa hizo ESPN Africa zipo kila kisimbuzi?