Azam yatua EPL

Sasa hizo zote ukitoa ya Rwanda si zinarushwa na FOX Sports Africa 1&2 ambayo hivi sasa inaenda kuitwa ESPN Africa ambayo iko kwenye kila kisimbuzi.
.
MLS ndio angalau inaonyeshwa mechi nyingi na hii huwezi kuifatilia mechi zake nyingi ni kuanzia saa saba usiku hadi alfajili.
.
Kwa hiyo ndio kitu cha kuwapongeza Azam au hujui kuwa hizo ESPN Africa zipo kila kisimbuzi?
ESPN Africa Zipo kila kisumbuzi lakini lazima uombe ili uonyeshe siyo kwamba ziko by default kwenye kila kisumbuzi. Kwa visimbuzi vya wamiliki wa kibongo Azam TV anajitahidi kulinganisha na wengine ukiwaondoa DSTV.
 
ESPN Africa Zipo kila kisumbuzi lakini lazima uombe ili uonyeshe siyo kwamba ziko by default kwenye kila kisumbuzi. Kwa visimbuzi vya wamiliki wa kibongo Azam TV anajitahidi kulinganisha na wengine ukiwaondoa DSTV.
Haziombwi mzee zinalipiwa, ESPN Africa inapatikana Startimes, Zuku, Continental, DSTV, Azam n.k
.
Hizo ligi zote ulizozitaja wala hazina wafuatiliaji wengi (kibongo bongo) Azam tv wamelamba dume kwenye VPL tu La liga yenyewe wala haifuatiliwi kihivyo.
.
Kwése wameshindwa hata kuleta visimbuzi vyao kutokana na uwepo wa DSTV ila wana ofisi zao hapa TZ na ndio hao wanaotoa hivyo vimechi vya bure (vinalipiwa kidogo) moja kila wiki.
 
Haziombwi mzee zinalipiwa, ESPN Africa inapatikana Startimes, Zuku, Continental, DSTV, Azam n.k
.
Hizo ligi zote ulizozitaja wala hazina wafuatiliaji wengi (kibongo bongo) Azam tv wamelamba dume kwenye VPL tu La liga yenyewe wala haifuatiliwi kihivyo.
.
Kwése wameshindwa hata kuleta visimbuzi vyao kutokana na uwepo wa DSTV ila wana ofisi zao hapa TZ na ndio hao wanaotoa hivyo vimechi vya bure (vinalipiwa kidogo) moja kila wiki.
Dstv yuko hoi siku hizi wanauza madishi kwa promotion siyo Ile DSTv ya kulipia kwa dollars tena. Azam TV is a threat to them. Sie watu wa 18,000 hizo match zinatosha tunashukuru Azam TV kuwepo tungekuwa hatuzioni.
 
Sio kwamba Azam ni threat kwa DSTV haiwezekani kabisaa.Kwa mtaji walionao DSTV hata wakigawa bure kabisa madish yao na decoder kisha watu wakaanza kulipia vifurushi vyao bado wanaweza kujiendesha.Azam wanajitahidi lakin bado sana kufananisha au hata kuikaribia DSTV.Hata wenye madish yote mawili mara nyingi hupenda kuwasha DSTV.Azam inawashwa saa2 usiku kwenye habari na siku za VPL.Baada ya hapo unafunga.

Mteja wa DStv akilipia 19,000 kwa mwezi channel anazopewa ni pungufu kidogo tu kwa package kubwa ya Azam.Sasaivi Dstv(multichoice)wameshabalance mzani wa soko kwa hiyo ndo maana wanajiamini hata kupunguza vifurushi vyao na bando kampuni haiyumbi.Ni sawa na supersport ambao sasaivi hakuna mtangazaji mkubwa kuliko kituo.Hata baada ya kuondoka yule wa uefa(sikazwe)kama sijakosea bado Supersport ipo vizuri na haiwezi kuyumba.
Hata hivyo azam wapo vizuri ila wapambane kwanza na startimes maana ndo mshindani wao mkubwa sana.
Dstv yuko hoi siku hizi wanauza madishi kwa promotion siyo Ile DSTv ya kulipia kwa dollars tena. Azam TV is a threat to them. Sie watu wa 18,000 hizo match zinatosha tunashukuru Azam TV kuwepo tungekuwa hatuzioni.
 
Dstv yuko hoi siku hizi wanauza madishi kwa promotion siyo Ile DSTv ya kulipia kwa dollars tena. Azam TV is a threat to them. Sie watu wa 18,000 hizo match zinatosha tunashukuru Azam TV kuwepo tungekuwa hatuzioni.
Azam itakuwa tishio ikianza kuonyesha EPL au UEFA, DSTV bado ni tishio kubwa ana UEFA, SERIE A, EUROPA, BUNDESLIGA, EPL na takataka zingine zoteee.
.
Hawauzi madishi yao kwa promotion ndio bei yao sasa hivi elfu 70 tu ila kwenye ununuaji wa vifurushi ndio mlima Kilimanjaro ulipo
 
Sasa hizo zote ukitoa ya Rwanda si zinarushwa na FOX Sports Africa 1&2 ambayo hivi sasa inaenda kuitwa ESPN Africa ambayo iko kwenye kila kisimbuzi.
.
MLS ndio angalau inaonyeshwa mechi nyingi na hii huwezi kuifatilia mechi zake nyingi ni kuanzia saa saba usiku hadi alfajili.
.
Kwa hiyo ndio kitu cha kuwapongeza Azam au hujui kuwa hizo ESPN Africa zipo kila kisimbuzi?
Hadi Ting na continental
 
Sio kwamba Azam ni threat kwa DSTV haiwezekani kabisaa.Kwa mtaji walionao DSTV hata wakigawa bure kabisa madish yao na decoder kisha watu wakaanza kulipia vifurushi vyao bado wanaweza kujiendesha.Azam wanajitahidi lakin bado sana kufananisha au hata kuikaribia DSTV.Hata wenye madish yote mawili mara nyingi hupenda kuwasha DSTV.Azam inawashwa saa2 usiku kwenye habari na siku za VPL.Baada ya hapo unafunga.

Mteja wa DStv akilipia 19,000 kwa mwezi channel anazopewa ni pungufu kidogo tu kwa package kubwa ya Azam.Sasaivi Dstv(multichoice)wameshabalance mzani wa soko kwa hiyo ndo maana wanajiamini hata kupunguza vifurushi vyao na bando kampuni haiyumbi.Ni sawa na supersport ambao sasaivi hakuna mtangazaji mkubwa kuliko kituo.Hata baada ya kuondoka yule wa uefa(sikazwe)kama sijakosea bado Supersport ipo vizuri na haiwezi kuyumba.
Hata hivyo azam wapo vizuri ila wapambane kwanza na startimes maana ndo mshindani wao mkubwa sana.
Dstv anamtaji kiasi gani kiasi cha kumfanya Azam media (Bakhressa) kuwa mdogo sana kwake? Nielimishe mkuu..
 
Sio kwamba Azam ni threat kwa DSTV haiwezekani kabisaa.Kwa mtaji walionao DSTV hata wakigawa bure kabisa madish yao na decoder kisha watu wakaanza kulipia vifurushi vyao bado wanaweza kujiendesha.Azam wanajitahidi lakin bado sana kufananisha au hata kuikaribia DSTV.Hata wenye madish yote mawili mara nyingi hupenda kuwasha DSTV.Azam inawashwa saa2 usiku kwenye habari na siku za VPL.Baada ya hapo unafunga.

Mteja wa DStv akilipia 19,000 kwa mwezi channel anazopewa ni pungufu kidogo tu kwa package kubwa ya Azam.Sasaivi Dstv(multichoice)wameshabalance mzani wa soko kwa hiyo ndo maana wanajiamini hata kupunguza vifurushi vyao na bando kampuni haiyumbi.Ni sawa na supersport ambao sasaivi hakuna mtangazaji mkubwa kuliko kituo.Hata baada ya kuondoka yule wa uefa(sikazwe)kama sijakosea bado Supersport ipo vizuri na haiwezi kuyumba.
Hata hivyo azam wapo vizuri ila wapambane kwanza na startimes maana ndo mshindani wao mkubwa sana.
Yule mtangazaji wa Uefa anaitwa Robert Marawa
 
Azam itakuwa tishio ikianza kuonyesha EPL au UEFA, DSTV bado ni tishio kubwa ana UEFA, SERIE A, EUROPA, BUNDESLIGA, EPL na takataka zingine zoteee.
.
Hawauzi madishi yao kwa promotion ndio bei yao sasa hivi elfu 70 tu ila kwenye ununuaji wa vifurushi ndio mlima Kilimanjaro ulipo
Kuweka rekodi sawa, Dstv hawaonyeshi Bundesliga na King'amuzi chao kwasasa ni 99,000/=
 
Multichoice Wana R50.1 bn revenue yao wakati bakhressa ana $660 million. So hapo nani zaidi??
Mkuu ukifanya comparison ni vizuri kuweka kwa currency moja. Ila nashukuru kwa hiyo info, siyo mbaya ukanielekeza ulipo pata hizo taarifa.
 
Back
Top Bottom