Azam wana haki ya kuonyesha Ligi Kuu Bara tu! TFF mlitumia kifungu gani kuwaruhusu Azam kuamua au kupanga ratiba ya Ligi Kuu?

kidadari

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
8,647
9,573
Baada ya Azam media kuonyesha mechi chache za ligu kuu bara msimu uliopita ambapo Azam wana haki ya kuonyesha mechi hizo. Wadau wa michezo wakawataka TFF kuwabana Azam ili watimize vigezo vya kuonyesha walau 90 % ya michezo yote itakayochezwa.

Wadau wa michezo walitegemea Azam media kuongeza channel nyingine au kufanya mabadikiko ya vipindi vyake ili kuonyesha mechi hizo lakini cha ajabu katika kikao cha TFF na Azam Media waliwaruhusu azam kupanga ratiba mechi zianze saa 8 badala ya saa 10 kama hapo awali.

Jambo hilo likipingwa na timu pamoja na wachezaji kutokana na hali ya hewa maeneo mengi kuna jua kali na joto kali linalowaathiri wachezaji ,pia si muda rafiki kwa mashabiki kuingia uwanjani wengi wao bado wapo makazini lakini TFF walishupaza shingo na kuruhusu maamuzi hayo.

Soka la Bongo.
 
Baada ya Azam media kuonyesha mechi chache za ligu kuu bara msimu uliopita ambapo Azam wana haki ya kuonyesha mechi hizo. Wadau wa michezo wakawataka TFF kuwabana Azam ili watimize vigezo vya kuonyesha walau 90 % ya michezo yote itakayochezwa...
Kwani kuna kifungu gani cha sheria kinachosema mechi zianze saa kumi??

wapi uliona dunian ww Ratiba ya ligi inapangwa tu bila mwenye haki ya kutangaza mechi hizo kuhusika?

huangaliag hata ligi za wenzio? hujiulizi ni kwann mechi zinaanza saa nane hadi saa nne usiku? unadhani walishindwa ziweka zote kwa pamoja??
 
Baada ya Azam media kuonyesha mechi chache za ligu kuu bara msimu uliopita ambapo Azam wana haki ya kuonyesha mechi hizo. Wadau wa michezo wakawataka TFF kuwabana Azam ili watimize vigezo vya kuonyesha walau 90 % ya michezo yote itakayochezwa...
Hivi kwanin wengine wasihamishiwe Jumatano? Mbona Hata Ijumaa na Jumatatu wengine wanacheza? Why Not Jumatano?
 
Baada ya Azam media kuonyesha mechi chache za ligu kuu bara msimu uliopita ambapo Azam wana haki ya kuonyesha mechi hizo. Wadau wa michezo wakawataka TFF kuwabana Azam ili watimize vigezo vya kuonyesha walau 90 % ya michezo yote itakayochezwa.
Wadau wa michezo walitegemea Azam media kuongeza channel nyingine au kufanya mabadikiko ya vipindi vyake ili kuonyesha mechi hizo lakini cha ajabu katika kikao cha TFF na Azam Media waliwaruhusu azam kupanga ratiba mechi zianze saa 8 badala ya saa 10 kama hapo awali.


Jambo hilo likipingwa na timu pamoja na wachezaji kutokana na hali ya hewa maeneo mengi kuna jua kali na joto kali linalowaathiri wachezaji ,pia si muda rafiki kwa mashabiki kuingia uwanjani wengi wao bado wapo makazini lakini TFF walishupaza shingo na kuruhusu maamuzi hayo.

Soka la Bongo.
Mfano ungekua wewe ungepanga vp ratiba?
 
Kwani kuna kifungu gani cha sheria kinachosema mechi zianze saa kumi??

wapi uliona dunian ww Ratiba ya ligi inapangwa tu bila mwenye haki ya kutangaza mechi hizo kuhusika?

huangaliag hata ligi za wenzio? hujiulizi ni kwann mechi zinaanza saa nane hadi saa nne usiku? unadhani walishindwa ziweka zote kwa pamoja??
Umemjibu vzr. Arsenal game ya kwanza EPL kaanza na FULHAM ugenini na ilipigwa Mchana wa saa 8.
 
Azam na Mbeya City jana imeepigwa saa 8 kwa saa za Mbeya japo sisi wa Tandahimba ilikuwa saa 5 Asubuhi wakati wa Chai
 
Sina uhakika kuwa Ratiba kapanga Azam kama ulivyosema! Ila ninakuona kuwa wewe si mdau katika Ulimwengu wa Soka na mpira haukupendi kabisa.

Nikwambie tu! Hata Ulaya Ligi zote kubwa (EPL, LA LIGA, BUNDES LIGA, SERIE A na LEGUE 1) Ratiba zinapangwa kufavour Matangazo ya Television.

Siku nyengine tunashuhudia Ratiba inapanguliwa na kupangwa upya kwa sababu ya TV tu.

Kabla ya kupost kwanza uliza ujuwe.
 
Baada ya Azam media kuonyesha mechi chache za ligu kuu bara msimu uliopita ambapo Azam wana haki ya kuonyesha mechi hizo. Wadau wa michezo wakawataka TFF kuwabana Azam ili watimize vigezo vya kuonyesha walau 90 % ya michezo yote itakayochezwa.
Wadau wa michezo walitegemea Azam media kuongeza channel nyingine au kufanya mabadikiko ya vipindi vyake ili kuonyesha mechi hizo lakini cha ajabu katika kikao cha TFF na Azam Media waliwaruhusu azam kupanga ratiba mechi zianze saa 8 badala ya saa 10 kama hapo awali.


Jambo hilo likipingwa na timu pamoja na wachezaji kutokana na hali ya hewa maeneo mengi kuna jua kali na joto kali linalowaathiri wachezaji ,pia si muda rafiki kwa mashabiki kuingia uwanjani wengi wao bado wapo makazini lakini TFF walishupaza shingo na kuruhusu maamuzi hayo.

Soka la Bongo.
Vya kujiuliza
1. Kuna kifungu cha sheria kilichofunjwa..!?
2. Kuna ukiukwaji wa mkataba!?
3. Kuna maslahi ya mdau yeyote yanabanwa.!?
 
Baada ya Azam media kuonyesha mechi chache za ligu kuu bara msimu uliopita ambapo Azam wana haki ya kuonyesha mechi hizo. Wadau wa michezo wakawataka TFF kuwabana Azam ili watimize vigezo vya kuonyesha walau 90 % ya michezo yote itakayochezwa.
Wadau wa michezo walitegemea Azam media kuongeza channel nyingine au kufanya mabadikiko ya vipindi vyake ili kuonyesha mechi hizo lakini cha ajabu katika kikao cha TFF na Azam Media waliwaruhusu azam kupanga ratiba mechi zianze saa 8 badala ya saa 10 kama hapo awali.


Jambo hilo likipingwa na timu pamoja na wachezaji kutokana na hali ya hewa maeneo mengi kuna jua kali na joto kali linalowaathiri wachezaji ,pia si muda rafiki kwa mashabiki kuingia uwanjani wengi wao bado wapo makazini lakini TFF walishupaza shingo na kuruhusu maamuzi hayo.

Soka la Bongo.

Hilinsuala la mechi saa nane mchana kwa kweli naona wamebugi men!
 
Kuna mechi uingereza huchezwa mida ya 11 kwa masaa ya hapa tz.

Utofauti ya muda kati ya tz na uingereza ni massa matatu. Kwa maana hiyo muda wa mechi hiyo kwa masaa ya uingereza ni saa 8 mchana.

Sioni tatizo lolote kwenye hili.
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom