Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Put it right. "Wameshurutishwa kuzifuta". Uzuri tumeziona kabla hawajafuta.
Put it right. "Wameshurutishwa kuzifuta". Uzuri tumeziona kabla hawajafuta.
Sikio la kufa halisikii. "It is digging its own grave".Ni uoga wa uminywaji wa vyombo vya habari nchini, ni kama mwendelezo tu hakuna jipya, udikteta ni pamoja na kuhodhi vyombo vya habari vimtangaze yeye tu!
Kumbe lile zoez la kuonyeshwa unalazimika kulipia???NEC ndio walisimamia zoezi hilo pale ndani. Kwenye vyombo vingine ni PESA tu ndio wanataka siyo ahadi.
Ndio, hakuna free lunch, vinginvyo usubiri wakuonyeshe kwenye taarifa za habari kwa nusu dakika!Kumbe lile zoez la kuonyeshwa unalazimika kulipia???
Sawa kabisa. Watulie bila wasiwasi.Wasiojulikana watajulikana tu. Subiri dozi iendelee.
Lawama kwa yule kijana aliyeshindwa kumuua mnyaturu kwa risasi zaidi ya 30.
Mzimu umefufuka, wasiojulikana hawajui waanzie wapi.
Ushauri: CCM endeleeni na shughuli zenu muacheni Lisu afanye yake. Akishinda urais tume ni yenu, mtajitangaza tu wala hakuna wa kubisha. Tume, polisi, TISS, JWTZ wote wapo upande wenu. Mlichokosa ni uhalali tu wa kuongoza kutoka kwa wananchi.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hapa ndipo jiwe alipolifisha Taifa letu pendwa, kwake siasa ni uaduiWakuu habari,
Katika hali ya kushangaza azam tv kwenye kurasa zake za mitandao mbalimbali waliweka video zikimuonyesha Lissu akichukua fomu za kuwania urais kweny ofis za Nec huko Dodoma lakini muda mchache wakazifuta hizo post zote,hii inaashiria nini kwenye tasnia hii ya habari?
polepole kishapiga simu,Wakuu habari,
Katika hali ya kushangaza azam tv kwenye kurasa zake za mitandao mbalimbali waliweka video zikimuonyesha Lissu akichukua fomu za kuwania urais kweny ofis za Nec huko Dodoma lakini muda mchache wakazifuta hizo post zote,hii inaashiria nini kwenye tasnia hii ya habari?
Yeye mwenyewe kawachokoza kwamba wasijezima tv wakati anaongea, sasa wanamjibu kabla.Wakuu habari,
Katika hali ya kushangaza azam tv kwenye kurasa zake za mitandao mbalimbali waliweka video zikimuonyesha Lissu akichukua fomu za kuwania urais kweny ofis za Nec huko Dodoma lakini muda mchache wakazifuta hizo post zote,hii inaashiria nini kwenye tasnia hii ya habari?
Watanzania msihofu. Haya yote yanaashiria na kumaanisha Kuwa saa ya ukombozi ndo hii.
Nilisema kwenye uzi wangu humu. Fitna hizi zinazofanywa dhidi ya Lissu mchana kweupe na Watanzania wote tukiziona si tu zinaongeza mapenzi kwa Lissu Ila zinazidi kuwapa sababu lukuki watanzania wote wapenda haki na usawa kuwa ni lazima Magufuli atoke madarakani mwaka huu kwa sanduku la kura ili watanzania wawe huru.
Waachane tu wafanye udhalimu wao ila wakati utafika kila mtu atahesabiwa.
Lissu yupo na Mungu. Aliyemponya kwenye risasi 16 huku akiiacha risasi 1 mwilini kwake na anazidi kumpa uhai ni mkubwa kuliko vyombo vya habari uchwara vya Tanzania
Ni kiashiria cha ujinga tu wa watanzania hakuna zaidi.Wakuu habari,
Katika hali ya kushangaza azam tv kwenye kurasa zake za mitandao mbalimbali waliweka video zikimuonyesha Lissu akichukua fomu za kuwania urais kweny ofis za Nec huko Dodoma lakini muda mchache wakazifuta hizo post zote,hii inaashiria nini kwenye tasnia hii ya habari?
Ni kiashiria cha ujinga tu wa watanzania hakuna zaidi.Wakuu habari,
Katika hali ya kushangaza azam tv kwenye kurasa zake za mitandao mbalimbali waliweka video zikimuonyesha Lissu akichukua fomu za kuwania urais kweny ofis za Nec huko Dodoma lakini muda mchache wakazifuta hizo post zote,hii inaashiria nini kwenye tasnia hii ya habari?
Ni kiashiria cha ujinga tu wa watanzania hakuna zaidi.Wakuu habari,
Katika hali ya kushangaza azam tv kwenye kurasa zake za mitandao mbalimbali waliweka video zikimuonyesha Lissu akichukua fomu za kuwania urais kweny ofis za Nec huko Dodoma lakini muda mchache wakazifuta hizo post zote,hii inaashiria nini kwenye tasnia hii ya habari?
Shauri yao,la maana kwetu mgombea wetu amechukua form bila mizengwe. Tunajua kuwa media houses zote zimepokea maagizo toka kuzimu. Tutawafikia wapiga kura ana ana kwa na watatuelewa.Wakuu habari,
Katika hali ya kushangaza azam tv kwenye kurasa zake za mitandao mbalimbali waliweka video zikimuonyesha Lissu akichukua fomu za kuwania urais kweny ofis za Nec huko Dodoma lakini muda mchache wakazifuta hizo post zote,hii inaashiria nini kwenye tasnia hii ya habari?