njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
App ilikuwepo miaka 4 naona imefufuliwa , vipi huko wajameni haijaathiri mkataba wenu wazee wa azam tv? si mlipewa exclusive kurusha mambo yao au inakuwaje?
Poleni sana ni suala la muda hata you tube account yao wataifanya active tena, palepale mliposhindwana na simba jamaa wakajifanya wapole kunyuti APP yao ambayo leo wanajifanya ni kitu kipya ndipo sasa yanga wanafanya
Au bado mna maudhui ya ki exclusive kurusha kwenye hiyo yanga tv?
dadeeekiiiii
??
Poleni sana ni suala la muda hata you tube account yao wataifanya active tena, palepale mliposhindwana na simba jamaa wakajifanya wapole kunyuti APP yao ambayo leo wanajifanya ni kitu kipya ndipo sasa yanga wanafanya
Au bado mna maudhui ya ki exclusive kurusha kwenye hiyo yanga tv?
dadeeekiiiii