Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,410
Kujifanya mmepunguza bei ya vifurushi wakati in real sense mmehamisha zile channels ambazo angalau zinaonekana kupendwa ni uhuni ambao hatutegemei TV kama Azam ya Watu wa Dini watufanyie.
Ni kinyume na Imani yetu kabisa. Binafsi nanunua Azam kwa sababu ya VPL tu sababu home nmejaribu sana washawishi lakini wamegoma wakionekana kuipenda kufa DSTV.
NACHOOMBA KWA SERIKALI/WIZARA YA HABARI KWA KUSHIRIKIANA NA TFF.
Haki ya kuonesha Ligi ya Vodacom wapewe na wengine. Ziwepo hata Kampuni mbili ili zenyewe zishindane kutupatia bei yenye ahueni.kama wakiendelea kuwa Azam peke yao kuna hatari ya kutaka kutunyanyasa sana wakijua hakuna la kuwafnya. Zikiwepo Kampuni mbili au tatu bei itakuwa ya kuwajali watanzania hawa maskini.
Tumeona unyanyasaji mkubwa kwenye makampuni ya simu, banks n.k sasa huku nako mnataka kutukamua halafu kisanii mnasema mmepunguza bei? Astaghafilullah. Kwanini mwatutendea hivi?
Ni kinyume na Imani yetu kabisa. Binafsi nanunua Azam kwa sababu ya VPL tu sababu home nmejaribu sana washawishi lakini wamegoma wakionekana kuipenda kufa DSTV.
NACHOOMBA KWA SERIKALI/WIZARA YA HABARI KWA KUSHIRIKIANA NA TFF.
Haki ya kuonesha Ligi ya Vodacom wapewe na wengine. Ziwepo hata Kampuni mbili ili zenyewe zishindane kutupatia bei yenye ahueni.kama wakiendelea kuwa Azam peke yao kuna hatari ya kutaka kutunyanyasa sana wakijua hakuna la kuwafnya. Zikiwepo Kampuni mbili au tatu bei itakuwa ya kuwajali watanzania hawa maskini.
Tumeona unyanyasaji mkubwa kwenye makampuni ya simu, banks n.k sasa huku nako mnataka kutukamua halafu kisanii mnasema mmepunguza bei? Astaghafilullah. Kwanini mwatutendea hivi?