Azam TV tafuteni mabondia wengine , Twaha kiduku na Dulla Mbabe tumewachoka , ni local boxers , nje hawafiki hata round 3

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,600
217,997
Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .

Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .
 
Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .

Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .
Dada leo umeongea point. Leo nimeshuhudia usanii hapa bongo.
 
Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .

Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .
Kwani wamepigana mara ngapi?

Timu Kiduku hapa
 
Anayeandaa mapambano sio Azam ndg ni promoters na kwa sasa nadhan hapa nchini anayesimamia hii kitu ni Kelvin Twisa yule alikuwaga Tigo/Voda na bank kadhaa
Azam wananunua haki za kuonesha kwa runinga
Kelvin kuna mahali nje ya nchi nimesoma naye , kama naye yumo humu basi ujumbe umefika
 
Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .

Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .
Itakuwa ni mgeni wa ngumi ww. Mabondia kurudiana ni kawaida sanaa
 
Back
Top Bottom