Duduwasha JF-Expert Member Nov 3, 2010 5,703 3,653 Jul 30, 2017 Thread starter #2 July Fourth said: Kawaida sana.. hata BBC na CNN huwa wanachapia kila mara.. japokuwa huwa wanawahi kusahihisha Click to expand... Haikuhusu. Baki na ujinga wako kwako elimu ni gharama
July Fourth said: Kawaida sana.. hata BBC na CNN huwa wanachapia kila mara.. japokuwa huwa wanawahi kusahihisha Click to expand... Haikuhusu. Baki na ujinga wako kwako elimu ni gharama
Slim5 JF-Expert Member Jan 7, 2014 28,108 37,644 Jul 30, 2017 #3 Pambana na hali yako Sent using Jamii Forums mobile app
bombei_safaya JF-Expert Member Oct 12, 2014 309 272 Sep 18, 2017 #6 Hivi huwa ni mubashara au mbashara mana Jana limetokea hlo
Duduwasha JF-Expert Member Nov 3, 2010 5,703 3,653 Sep 18, 2017 Thread starter #7 bombei_safaya said: Hivi huwa ni mubashara au mbashara mana Jana limetokea hlo Click to expand... FaizaFoxy anatakiwa aende huko akawape Darasa. Kiarabu pengine anakifamu zaidi.. Yaweza kuwa kuna wingi na mamoja ya bushara ndio Mubashara na Mbashara Wangaacha tu kwa lugha ya English Live
bombei_safaya said: Hivi huwa ni mubashara au mbashara mana Jana limetokea hlo Click to expand... FaizaFoxy anatakiwa aende huko akawape Darasa. Kiarabu pengine anakifamu zaidi.. Yaweza kuwa kuna wingi na mamoja ya bushara ndio Mubashara na Mbashara Wangaacha tu kwa lugha ya English Live