Azam Tv, Simba SC na Watangazaji wa Michezo Redioni mnatuchanganya kuhusu Muda wa Mechi ya Simba SC na Wabotswana leo

Azam ndio waliokosea ila tayari wamesharekebisha. Wameweka saa kumi kamili badala ya saa tisa
Asante kwa Taarifa Mkuu japo nimeipata muda huu baada ya Kuingia ( Log In ) JamiiForums huku nikiwa tayari nimeshaitizama hata na Mbungi ( Mechi ) Yenyewe.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom