Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Hawa jamaa ni shida sana inabidi watiwe adabu. Wakiona unatumia king'amuzi chao pasipo kulipia vifurushi vyao ndani ya wiki mbili wanazima sehemu ya signal ili uwapelekee wajifanye wanakutengenezea bure lakini kumbe wanajifanya wanagusa gusa alafu wakishafanya yao wanakulazimisha lazima ununue kifurushi. Hili halina mjadala kwao.
Hawataki kabisa kuonesha zile chanel muhimu za ndani pasipo kulipia, hii janja yao iko technical sana na wanatumia mbinu hii kunyima wateja wao haki za free channels
Tunaomba TCRA waingilie kati na waichulie hatua Azam Tv
Hawataki kabisa kuonesha zile chanel muhimu za ndani pasipo kulipia, hii janja yao iko technical sana na wanatumia mbinu hii kunyima wateja wao haki za free channels
Tunaomba TCRA waingilie kati na waichulie hatua Azam Tv