Azam TV mbona neno live hamlipendi?

MKEHA

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
713
1,136
Nimekua nikiangalia programme nyingi kupitia Azam TV lakini huwa hawaonyeshi neno live hasa kwenye.Azam Two na Azam Sports 2.

Kwa mfamo muda huu nacheki game ya Majimaji na Stand United lakini huwezi kujua kama ni recorded programme ama laa.

Wakati huo huo AUPL kati Mbarara city na Vippers kuptia Azam One kuna neno live. Wakionyesha Laliga pia huwa neno Live linawekwa.

Je mmekatazwa na TCRA au tatizo ni nini. Mtu anaweza asiangalie match kwa kutokujua kama programme hiyo ni live au recorded.
 
Hata hilo neno mbashara halipo kabisaaa
 
Mbashara neno refu sana mpaka nafasi ya kuliandika kwenye TV inakosekana
 
Nimekua nikiangalia programme nyingi kupitia Azam TV lakini huwa hawaonyeshi neno live hasa kwenye.Azam Two na Azam Sports 2.

Kwa mfamo muda huu nacheki game ya Majimaji na Stand United lakini huwezi kujua kama ni recorded programme ama laa.

Wakati huo huo AUPL kati Mbarara city na Vippers kuptia Azam One kuna neno live. Wakionyesha Laliga pia huwa neno Live linawekwa.

Je mmekatazwa na TCRA au tatizo ni nini. Mtu anaweza asiangalie match kwa kutokujua kama programme hiyo ni live au recorded.
wanatumia kiswahili siku hizi
 
Hao ni ISISI supporters eti hata kwenye ile timu yao hawapendi sana wakristo au majina ya utani ya wachezaji maarufu wa kizungu mfano Mesi Kanavaro na ujinga mwingine wa kutosha tuu. Tazama hata wasemaji wa timu wanaanzaga kuongea na Media muda wa azana ili makelele yasikike anapohojiwa, na wengi huwa na makanjanja ila kigezo ni kuwa mvaa gauni jeupe na kabakuli ka kuzuia akili isipumue
Acha unafiki na umaskini wa fikra wewe, we unatoka kabila lenye vichaa, kwani Adebayor(John Bocco) katokea wapi. umaskini shida aisee we anzisha yako.
 
Hao ni ISISI supporters eti hata kwenye ile timu yao hawapendi sana wakristo au majina ya utani ya wachezaji maarufu wa kizungu mfano Mesi Kanavaro na ujinga mwingine wa kutosha tuu. Tazama hata wasemaji wa timu wanaanzaga kuongea na Media muda wa azana ili makelele yasikike anapohojiwa, na wengi huwa na makanjanja ila kigezo ni kuwa mvaa gauni jeupe na kabakuli ka kuzuia akili isipumue
Kama huyu?
 

Attachments

  • image.jpg
    22.4 KB · Views: 21
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom