brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Harusi ya mchekeshaji mahiri nchini Jotti itaonyeshwa live na Azam Tv kupitia chanel yake ya Sinema Zetu kuanzia saa tatu(3) kamili usiku live kutoka mlimani City.
Joti ameahidi burudani na vitu vizuri kwa watazamaji wote wa sinema zetu huku akipigwa tafu na macelebrity kibao kutoka Tanzania
Joti ameahidi burudani na vitu vizuri kwa watazamaji wote wa sinema zetu huku akipigwa tafu na macelebrity kibao kutoka Tanzania