Pemba?Zctv, Zmux, coconut digital ila ukivuka chumbe havifany Kaz.
Pemba vinapiga Kaz mkuu nilikuwa namaanisha bara havifany Kaz.Pemba?
watu wa vibanda umiza watakuwa wanafaidiZctv, Zmux, coconut digital ila ukivuka chumbe havifany Kaz.
Wanawapata kias chake ila ni jambo la kawaida kukuta mtu kaweka tv yake nje na watu wakiangalia mechi bure kabisa.watu wa vibanda umiza watakuwa wanafaidi
Cable zina chenga hatariIn HD quality?