Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 8,738
- 11,961
Hivi kingamuzi kizur kwa Zanzibar ni kipi, cha kutazama ligi za nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nasubiri tarehe 22 juni Sultan ikiisha ndo bai bai king'amuzi hiki sebuleni kwangu. Udini umewajaaaa. Chefuuuuuu(kwa sauti ya sumbulaa)Mi kwangu mkuu azam ina mwaka.cjawahi ilipia, nipo dstv tu,
Kanielewesha lkn sijaelewa bado, nimekubali shingo upandenilijua sijaelewa peke angu
Zuku wanaanzia 9999 ila usipolipia kwa miezi miwili wanakupa ofa ya 4000-5000 pia ukilipia miezi miwili mfululizo wanakupa mmoja bureGharama za vifurushi vyao zipoje
Enyi waarabu msio na akili nani amewaroga?Enyi wagalatia,msio na akili,nani amewaloga?
Mkuu ukitaka machaneli ya muziki nunua zuku ukitaka documentary channels nunua DSTV na Zuku ukitaka filamu za kihindi nunua Startimes ukitaka filamu za mapigano na zinazokwenda na wakati nunua DSTV ukitaka Michezo nunua Azam na DSTV sasa chaguo ni lakoHiii kitu mm ndo inaniboaa sana yaan mpk TBC sijui Safarii hii ingekuwa ni Channel ya Azam, hawajuii hata wateja wao wanataka nini...
Nilishawahii kufungua Uzi umu nikiwashauri Azam kwenda na Wakati...
SINEMA ZETU IWE NI YA KISASA TUONE SINEMA ZA EAST AFRICA MPYA SIO WALEWALE WAKINA JINGO SIJUI NA WAKINA NANI YAAN FILAM ZA 2015 NDO TUNAONESHWA LEO
Waanzishe channel za maudhii mbalimbali documentaries,history, watoto, movie za mbele, MUSIC..hapa ndo wamefeli kabsa yaan sijui kama wanavyosema wanajamvi UDINI kipindi wanafkria kuanzisha Azam sports HD mara sports 2 kwanini uwa awafkirii kuja na Channel ya MUSIC??....................
Taarifa ya habari tulishawasamehe basi iwepo channel ya habarii hata za nje basi km ilivo BBC na nyinginezo yaan ifke wakati mtu ukiwasha AZAM TV basi upate package ya CHANNEL kama hata 10 za azam....
Sasa wao ni Bukkede,Salt, cjui nini machannel yenyewe machafu yaan resolution mbayaa bora hata TBC.....
Mkuu hawa watu wanadamu za chuki na uislamu.Kwanza mnajuwa hii ni PRIVATE SATATION TV haifungamani na kikundi au Dini ya mtu yoyote kama una pesa zako unataka kurusha MATANGAZO LIVE. HATA YA KANISA JUST LIPIA UTARUSHIWA TU ,hizo mnazoziona za waislaam ni Vipindi vinavyo dhaminiwa na wadhamini wengine ni BAKHRESA CO. lts. Kwa hio kama kina ASAS WALIDHAMINI RAMADHAN CUP , na wakristo nao wadhamini KANISA CUP watarusha matangazo TATIZO ZA NCHIN HII WANAFIKIRIA NCHI HII NI MALI YA WAKRISTO , la hasha UKRISTO ULINGIA BAGAMOYO MIAKA 120 ILIOPITA JUST VERY SOON NA UISLAAM UKO AFRICA MASHARIKI KARIBU MIAKA 1000 Uliopita but still WAISLAAM HAWAJASEMA KAMA NCHI HII YA WAISLAAM PEKE YAO WANAJESHIMU DINI NYENGINE ZANZIBAR SULTAN ALITOA ARDHI PAJENGWE KANISA KWA MAPENZI YAKE MWENYEWE alikuwa na uwezo wa kukataa pia NA DAR ESSALAAM SEWA HAJI ALIJENGA HOSP LWA WATU WOTE HAJAJALI WAISLAAM AU WAKRISTO kwa hio propaganda zenu kwa TV AZAM hazina maana ,tokea MWALIMU NANI KAANZISHA KUONESHA LIVE PREMIER LIGI YA TANZANIA NA RUANDA KWENYE TV KILA MIKOA NANI KAMA SIO AZAM ,hata TBC na ITV NA STAR TV HAWANA UWEZO HUO , hakafu kumbuka mwenye TV STAR TV KWAYA NA MAHUBIRI YA KIKRISTO KILA WAKATI MBONA WAISLAAM
HAWASEMI NA PIA AZAM INA LIPIA CHANNEL ZA NJE KWA MIKATABA IKIWA SISI WENYEWE TCRA IAMWEKEA NGUMU AZAM WAZIRISHE HABARI PAMOJA KUFUNGIA LOCAL TV SABABU HATUJUI MAANA MBONA WAKATI WA KIKWETE CHANNEL ZOTE ZILIPITIANKWA KINGAMUZI HALUNA FREE DIGITAL TV KAMA ZAMANI UNAWEKA ARIEL UNAONA LEO UWE NA KINGAMUZI , sasa azam wakirusha TAMTHILIA ZA KITURUKI AU KIARABU INAWAHUSU NINI WATU WALALAMIKE
KUMBUKA MWENYE TV NIMUARABU NA MUISLAAM MNATAKA TAZAMENI HAMTAKI HAMJALAZIMISHWA ILA KIWEKA MISAA Za kikristo bila kulipia haiwezi kuoneshwa lazima ilipiwe kama
Za waislaam
Wanalipia
Ok tumekusikia sasa unataka nini unataka na wewe uweshehe? Sikunyingine ukija hapa uje na ushahidi wa picha kama hunapicha tupa kuleWamejaza mashekhe badala ya wataalam sijui walitaka kufungua madrasa
Tamthilia zote ni udini tupu .majuba na
Udini unaimaliza azam
Wanaboa sana
Hizo cineme zao sijui zetu ndio wameshindwa kutoa tuzo hata kwa wazawa
Tuzo wanawapa eti Wa Irani sijui wahindi na Wa turuki .
Hovyo sana
Hivi kunamtu anateseka??? Au kunamtu alikufunga kamba kununua king'amuzi cha azamu mbona vipo ving'amuzi vinamambambio ya kutosha na kumsifu bwana hawaendi kununua acheni to go mbaya mmekuwa kama wanawake wa kizaramu kuku mle nyie mpangaji akipika anachafua nyumba kwa harufu usioipenda? Andamaneni muende kwa kakobe mkashitakiHa ha waelimishe ndugu zako wasiteseke na huo ujinga walionao, dunia inabadilika waache kuishi kwa mazoea.Europe wale mashoga wa kizungu wamepambana kueneza chuki juu ya uislam, wameshindwa, wasomi wa ulaya wamewaambia the word is changing.
Sasa wewe na chuki zako kwa uislam, unajifanya kulalamika wakati maamuzi unayo mikononi mwako, tuwaeleweje zaidi ya chuki za kijinga.
Wakristu acheni chuki za kijinga mnatia aibu.
Hapana kijana. Nilihesabisha sensa ya mwaka 2012 kwenye dodoso hapakuwa na swali la dini. Na tulipigwa marufuku kabisa kuhusu maswali ya dini. Kama uliulizwa basi ulikuwa nchi nyingine si TanzaniaNimejaribu kukufafanulia vizuri kabisa na nikakuwekea proved articles zilizoko Wikipedia zinazoielezea Tanzania na mifumo yake bado hutaki kuamini.
Mwaka 2012 wakati watu walioajiriwa na ofisi ya Takwimu ya taifa walikuwa wakihoji dini za wanakaya husika na hata kama mkuu wakaya hayupo aliyepo ndiye aliyetakiwa kutoa taarifa husika.
Mimi ni mmoja wa wanadamu walioulizwa maswali na mawakala wa ofisi ya taifa ya takwimu waliokuwa wakiendesha hilo zoezi Mkoa wa Mwanza.
Mwisho kabisa idadi ya Wakristo kuwa wengi kuliko waislamu kwa Taifa letu na hata Afrika nzima inaweza isikuhitaji hata takwimu kutambua.
Niliulizwa nikiwa Jiji la Mwanza, manispaa ya Nyamagana kata ya Butimba.Hapana kijana. Nilihesabisha sensa ya mwaka 2012 kwenye dodoso hapakuwa na swali la dini. Na tulipigwa marufuku kabisa kuhusu maswali ya dini. Kama uliulizwa basi ulikuwa nchi nyingine si Tanzania
TBC na Sinema zetuVip local channel zipo??
Ubora wa picha na mchina upi bora zaidi?Azam naangalia BBC, aljazeera, na investigation discover bas, hizo movie za sultan nilizikataa kuangalia baada ya kuona zina udini
Wamejaza mashekhe badala ya wataalam sijui walitaka kufungua madrasa
Tamthilia zote ni udini tupu .majuba na
Udini unaimaliza azam