Dripboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 3,178
- 4,602
Ingia kwenye tovuti ya ofisi ya taifa ya takwimu na utaona.Mkuu mbona hapakuwa nakuulizwa dhehebu au dini sensa hiyo?.
Kama sijasahau nakumbuka waislam walidai sensa itakayotambua kigezo cha dini yamtu nandugu zangu wakristo waliipiga marufuku. Naomba ukumbuke vizuri ndugu yangu hio sensa yakuulizana dini haikuwa ndani ya nchi hi.
ukiona tabu nenda Wikipedia