Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,984
Yaani wewe una chuki tu na Azam kaaa!!
Udini utawamaliza nasikia hadi ma messenger ni lazima uwe wa dini yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini utawamaliza nasikia hadi ma messenger ni lazima uwe wa dini yao
Kiache nnua kisicho na udiniWamejaza mashekhe badala ya wataalam sijui walitaka kufungua madrasa
Tamthilia zote ni udini tupu .majuba na
Udini unaimaliza azam
Startimes aka mchina
DstvSasa king'amuzi gan ndio kizuri hapa Tz?
Kumbe wewe mtu wa star times uko kipromo zaidi pyeeeee
Yaani wewe una chuki tu na Azam kaaa!!
Kiache nnua kisicho na udini
Ninalo li azam ila nimelichoka na udini wake
Narudi dstv na mchina
Ndo nnua sasa waache na udini waoDstv ,star times. Zuku
Wafie kuleNdo nnua sasa waache na udini wao
aisee acheni kuvunja watu mbavuWaacheni wana wa mnyaazi mungu
Kingamuzi 69k unapata..kifurushi cha chini kabisa ni bomba 19k unapata baadhi ya channel sio mbaya..DSTV bajeti ipokje ndg
Ni kwasababu ya Mwezi mtukufu wa RamadhaniTulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
Kwani hiki kingamuzi kinatumiwa tu na Waislamu?Ni kwasababu ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani
Ramadhani imeisha sasa utaziona mpaka ukinai
Naona sales lady kutoka azam tv umetia timuRudi hata wao hawakutaki pia watu km nyie mpo kila sehemu!chuki ni ugonjwa mbaya kaka
Wakalaa unajitahdi kutoa promoo.. Star times safi snaaa..Nimetumia ving'amuzi vyote ila kwa Dstv kimetua mabegi.