Azam Tv inapoteza mvuto

Hawa jamaa ndio maana hata kwenye timu yao ya Azam wanafeli pamoja na uwekezaji wao kuwa mkubwa.

wana ingilia taaluma za wakurugenzi wao ndio maana wanaboronga.

Mtu kama Tido ni kichwa sana lakini hapewi nafasi afanye kazi yake vizuri.

ndio maana Wanapoteza mvuto kwa kujaza machanel yasiokua na kichwa wala miguu.
 
Ukitaka kufurahia machaneli ya muziki, reality shows, na documentary nunua Zuku hawana mpinzani katika hilo hata DSTV anagwaya ubaya wao sasa hawa machoko wanakata hadi TBC hawakuachii hata moja pale kifurushi chako kitakapoisha.

utabaki na radios na channels za kidini ikiwemo Top tv ya Ceaser masisi na channel za kamari. Ila kama ni mpenzi wa sports huku utachemka kuna Fox sports tu 😝😝
 
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
Ni kwasababu ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani

Ramadhani imeisha sasa utaziona mpaka ukinai
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom