Azam Tv inapoteza mvuto

Capt Tamar

JF-Expert Member
Dec 15, 2011
11,727
14,608
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu Serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!!

Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama!

Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa!

Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
 
Mbona hayo machannel ni ya burr ni kutega tu dish unayapata free
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
 
Waliondoa taarifa ya habari azam two wakaweka tamthilia ya sultan na nabii hamza
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
 
Back
Top Bottom