Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,664
- 2,516
Wajinga ndio waliwao
Hii itakuwa kama Halotel,mwanzoni walianza na ma GB ya kumwaga,walipoona tumekuwa wengi GB zikawa zile zile kwa speed ya kobe,wiki inaisha GB bado ziko kibao,halafu wanasubiria imebakia siku 1 wwnaongeza speed ili kukuhamasisha...Wananzaga hivyo hivyo ila wape muda utajionea tu.
Tuombe msamaha mkuuNi jambo zuri kwa azam kutokuuza vitu vya haramu..
Kwa mujibu wa imani yangu siwezi kukuomba msamahaTuombe msamaha mkuu
Pombe ni haramu?
Ukifa hatutamwaga pombe kaburini kwako kama ishara ya upendo.Kwa mujibu wa imani yangu siwezi kukuomba msamaha
500 unapewa 1GB na midakika wiki nzima baadae wakatugeukiaWanaanzaga hivyo hivyo alafu badae wanageuka kama kinyonga.
Tuulize sisi watumiaji wa kwanza wa Halotel nini kilitokea mwaka 2015 halotel ilipo anza.
unacopy huko bila kujua ukweli halafu unaleta na unabisha ,hujielewi