Azam Sports Club. Uongozi msidanganyike na matokeo ya Babu Cheche. Tafuteni Kocha Mzuri

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,356
11,502
Tunajua kuwa Babu Cheche na baadhi ya viongozi kwa kushirikiana na wachezaji kadhaa waliamua kumhujumu Pluijm ili atolewe apewe team huyu anayeitwa babu cheche. Inafahamika pia mshahara anaopokea kuna mtu anagawa naye kiasi flani na lengo ni kuwa mwishoni awe kocha mkuu apewe mkataba na mshahara mkubwa.

Hakafu pasu pia inenepe kwa kiongozi ambaye naye anapata hapo.huyu jamaa ni mhamasishaji mzuri kwa sasa kwa wachezaji.kama alivyokuwa djuma masudi wa simba ambaye akaanza kuiharibu team ili kocha patrick apigwe chini achukue team.

Lakin tunaona yule kocha ambaye hata mashabiki wa simba hawakuwa wakimtaka ndiye aliyeleta mafanikio makubwa mpaka sasa. Na jiulize masudi djuma huko aliko ameenda kufanya nini?

Screenshot_20190318-083858~2.png

Moja la tatizo kubwa tulilo nalo katika azam ni kuwa imeacha kuchukua viongozi wasomi ila imejaza waswahili pale.na ndo maana tunaiona azam inashauriwa ipite sijui milango gani wakati wa kupambana na simba inapita huko...kipumbavu kabisa.inakuja inafungwa 3.

Azam ilitegemewa iwe team ya kisasa.imekuwa kinyume bado kuna waswahili wameenda kukaa mle ndani hawa ndo wamekuwa wataalam kwa kila kitu. Hawa ndo waliacha wachezaji wazuri waondoke wakachukuliwa na simba.

Waswahili hawa wameacha kucheza mpira uwanjani wanaenda kuroga na kuanza kuamini katika ulozi.tunategemea nini kwa azam?tunafahamu kuwa wakiwa zanzibar azam hushinda sana sababu ya imani za kishirikina katka mechi zao kwa kutumia waganga walioko huko na azam ni kama kwao zanzibar.

Tunataman azam iendeshwe kisasa...sababu hii team ina mmiliki mwenye pesa.kwa nini asitafute wasomi na wanaojua mpira?
 
Nakubaliana na wewe, azam ilitakiwa kuwa kama tp mazembe, yaani uwekezaji waliofanya hauendani na matokeo ya uwanjani, ni wakati muafaka sasa kwa tajiri kulitizamama hili, kuwa uwekazi wake mkubwa lazima uendane na matokeo mazuri uwanjani, unless na yeye alitaka awe timu inayoshiriki ligi kuu basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunajua kuwa Babu Cheche na baadhi ya viongozi kwa kushirikiana na wachezaji kadhaa waliamua kumhujumu Pluijm ili atolewe apewe team huyu anayeitwa babu cheche. Inafahamika pia mshahara anaopokea kuna mtu anagawa naye kiasi flani na lengo ni kuwa mwishoni awe kocha mkuu apewe mkataba na mshahara mkubwa.

Hakafu pasu pia inenepe kwa kiongozi ambaye naye anapata hapo.huyu jamaa ni mhamasishaji mzuri kwa sasa kwa wachezaji.kama alivyokuwa djuma masudi wa simba ambaye akaanza kuiharibu team ili kocha patrick apigwe chini achukue team.

Lakin tunaona yule kocha ambaye hata mashabiki wa simba hawakuwa wakimtaka ndiye aliyeleta mafanikio makubwa mpaka sasa. Na jiulize masudi djuma huko aliko ameenda kufanya nini?

View attachment 1048091
Moja la tatizo kubwa tulilo nalo katika azam ni kuwa imeacha kuchukua viongozi wasomi ila imejaza waswahili pale.na ndo maana tunaiona azam inashauriwa ipite sijui milango gani wakati wa kupambana na simba inapita huko...kipumbavu kabisa.inakuja inafungwa 3.

Azam ilitegemewa iwe team ya kisasa.imekuwa kinyume bado kuna waswahili wameenda kukaa mle ndani hawa ndo wamekuwa wataalam kwa kila kitu. Hawa ndo waliacha wachezaji wazuri waondoke wakachukuliwa na simba.

Waswahili hawa wameacha kucheza mpira uwanjani wanaenda kuroga na kuanza kuamini katika ulozi.tunategemea nini kwa azam?tunafahamu kuwa wakiwa zanzibar azam hushinda sana sababu ya imani za kishirikina katka mechi zao kwa kutumia waganga walioko huko na azam ni kama kwao zanzibar.

Tunataman azam iendeshwe kisasa...sababu hii team ina mmiliki mwenye pesa.kwa nini asitafute wasomi na wanaojua mpira?
Naona umeandika bila kujua historia ya Babu cheche azamu.
Lingine Pluijini ndo alikua anahijumu Azamu kwa kugawa wachezaji na si babu cheche.
Fanya utafiti kabla ya kuandika siku nyingne. Kama utapiga kafanye kwanza uchunguzi utaelewa ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom