Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ITV ikae vzuri awa jamaa awanautaniKweli mkuu,Azam kwa habari wako vizuri sana.
Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clearWakuu kiukweli hiki kituo cha azam ni moja ya kituo bora kwa sasa kwa upande wa habari muda wa saa2
Ni wazi sasa ITV wanahitaji kujipanga kuwafikia hawa jamaa kwani ni wafanisi sana na wako ki general news sio ki upande mmoja
BiG UP AZAM NEWS
We George Maratu nini??? Sio kwa kuitetea huko ITVInawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Habari ndio INA wabeba sanaAzam inabebwa na ligi ya mpira tu LA sivyo ingedoda km continenental
Iv unaangalia azam gan mkuu iv azam na ITV wapi wana rangi mbayaInawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
kama ving'amuzi vyao vitaendelea kuwa bei ya juu itv inayopatikana kwa king'amuzi cha 6000 itabaki kuwa juu siku zoteWakuu kiukweli hiki kituo cha azam ni moja ya kituo bora kwa sasa kwa upande wa habari muda wa saa2
Ni wazi sasa ITV wanahitaji kujipanga kuwafikia hawa jamaa kwani ni wafanisi sana na wako ki general news sio ki upande mmoja
BiG UP AZAM NEWS
Hahahaakama ving'amuzi vyao vitaendelea kuwa bei ya juu itv inayopatikana kwa king'amuzi cha 6000 itabaki kuwa juu siku zote
Azam inabebwa na ligi ya mpira tu LA sivyo ingedoda km continenental
Chuki binafsiAzam inabebwa na ligi ya mpira tu LA sivyo ingedoda km continenental
Unatumia wire gani mkuu??Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Azam inabebwa na ligi ya mpira tu LA sivyo ingedoda km continenental