Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,753
- 71,126
- Thread starter
- #41
Ndugu yangu umeelimika kweli na kuweza kujua mantiki ya hoja au ni ushabiki tuu?Leo mnasema hivyo ,nyinyi kipindi kile cha nyuma, mlikuwa hamtumii akili na ndio maana kila alichofanya mlikiona cha maana au hamkuwa na akili kabisa.
We are talking about business sio huo utani, utani utaendelea kuwepo Manara awe yupo au hayupo. Hapo zamani hakuhusisha biashara na hisia zake mbovu.