TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,730
- 21,126
Watu wasiyo na ujuzi wa kitu fulani wanasumbua sana mbele ya wenye ujuzi.Mwache haji ajitafutie riziki yake, hao waliompa mkataba walishajua itakua hivi na wakampa mkataba, tuache roho za husda.
Huyo huyo anaweza kukupa mpangilio wa kutumia 10,000 kibiashara kuliko anayefanya biashara.
Huyo huyo akiwa jukwaani anamwambia mchezaji kwa kelele ungepiga hivi ungefunga, hufai weweee!.