Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu ila bongo nyoso sana kwenye sokaDah! Mkuu mbona unanitega? FAT ndo ikageuzwa TFF hivo wale waliotemwa kiuongozi FAT baadhi wakajiunga Azam.
Azam ni Simba B...unawezaje kuwaachia bure wachezaji 4 muhimu kwa mpinzani wako...Azam+Mtibwa+Simba wameungana ili kushinda VPL...nafwaaaaa
Hivi hamuoni aibu kuisema Azam na kuziacha Simba na Yanga??Tatizo kubwa la Azam ni poor Management yenye poor strategies..,