Hongera sana kwa Azam kwa mafanikio yenu kibiashara hasa bidhaa zenu zenye ubora hapa nchini.
Naamini hakuna mtanzania ambaye hafaidiki nazo, kwa maana hii mnapata sapoti ya watanzania wote kununua bidhaa zenu ambao ubora wake unakubalika.
MADA yangu ni kwamba pamoja na utajiri wote huu, mmeshindwa kweli kuuza visimbusi ama ving'amuzi vyenu bila malipo ya kila mwezi?
Corporate social responsibility yenu ikoje? mtatoa mchango gani kwa Tanzania Hii jamani? yaani ni bora kugawa 500/= kila ijumaa kwa watu wachache kuliko kuifaidisha jamii nzima???
Jamani lifikirie hili, Mengi amewashinda na Diamond Platinamz ameonyesha mfano bora wa social responsibility kutoka kwa wasanii!
Rose Mhando na wenzio jamani, nanyi rudisheni kidogo kwa jamii ili injili ieleweke zaidi......Amen.
Naamini hakuna mtanzania ambaye hafaidiki nazo, kwa maana hii mnapata sapoti ya watanzania wote kununua bidhaa zenu ambao ubora wake unakubalika.
MADA yangu ni kwamba pamoja na utajiri wote huu, mmeshindwa kweli kuuza visimbusi ama ving'amuzi vyenu bila malipo ya kila mwezi?
Corporate social responsibility yenu ikoje? mtatoa mchango gani kwa Tanzania Hii jamani? yaani ni bora kugawa 500/= kila ijumaa kwa watu wachache kuliko kuifaidisha jamii nzima???
Jamani lifikirie hili, Mengi amewashinda na Diamond Platinamz ameonyesha mfano bora wa social responsibility kutoka kwa wasanii!
Rose Mhando na wenzio jamani, nanyi rudisheni kidogo kwa jamii ili injili ieleweke zaidi......Amen.