Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Nimemsikia msemaji wa Azam kupitia RFA kuwa:-
1. Kocha waliyemuajiri ni kutokana na uongozi wa klabu na sio mashabiki, hilo ni sawa lakini hakuna timu isiyokuwa na masabiki hata vilabu vya Simba (mnyama) na Yanga (mwananchi) vilianza kama vikundi tu vya watu wachache na leo pana mashabiki lukuki si ndani ya nchi pekee hata nje ya nchi hii.
2. Mafanikio ya kocha huyu alipokuwa na FC Leopard ni tofauti kabisa na atakavo kuwa na Azam kwa sababu ya lugha. Lugha ni kitu muhimu mno katika maisha ya binadam hivo kwa kuwa huyu hajui Kiingereza wala Kiswahili pana tatizo hapo. FC Bayern Munich walipomuajiri Pep walihakikisha anaifahamu vema lugha ya Kijerumani kwanza na ndipo wakamkabidhi timu, kumbuka Pep ni Mhispania. Sasa huyu kocha hajafundishwa Kiswahili na kama ujuavyo sie lugha ya Kiingereza hatukijui sawasawa itakuwaje?
Sitegemei mabadiliko ya haraka hapo Azam kama ndoto za viongozi wake zinavowatuma.
1. Kocha waliyemuajiri ni kutokana na uongozi wa klabu na sio mashabiki, hilo ni sawa lakini hakuna timu isiyokuwa na masabiki hata vilabu vya Simba (mnyama) na Yanga (mwananchi) vilianza kama vikundi tu vya watu wachache na leo pana mashabiki lukuki si ndani ya nchi pekee hata nje ya nchi hii.
2. Mafanikio ya kocha huyu alipokuwa na FC Leopard ni tofauti kabisa na atakavo kuwa na Azam kwa sababu ya lugha. Lugha ni kitu muhimu mno katika maisha ya binadam hivo kwa kuwa huyu hajui Kiingereza wala Kiswahili pana tatizo hapo. FC Bayern Munich walipomuajiri Pep walihakikisha anaifahamu vema lugha ya Kijerumani kwanza na ndipo wakamkabidhi timu, kumbuka Pep ni Mhispania. Sasa huyu kocha hajafundishwa Kiswahili na kama ujuavyo sie lugha ya Kiingereza hatukijui sawasawa itakuwaje?
Sitegemei mabadiliko ya haraka hapo Azam kama ndoto za viongozi wake zinavowatuma.