Azam federation: Namungo yaingia fainali kwa figisu dhidi ya sahare

Ingekuwa bingwa wa KOMBE hili haendi kuwakilisha kimataifa basi Sahare angeshinda lakn kwakuwa TAIFA linahitaji muwakilishi mwenye uwezo wake basi lazima angalau tupate muwakilishi mwenye msuli kwa namna yoyote ile.

KOMBE la shirikisho África unaenda kukutana na timu bora za nchi mbalimbali sasa huyó Sahare hana ubavu wa kifedha wala uwezo wa wachezaji kushindana zaidi ataenda kulitia aibu Taifa letu kwa kubugizwa magoli ya kutosha.

Tumeyaona hayo kwa Mtibwa alipopata nafasi, round ya pili tu kakutana na Viper ya Uganda akapigwa nje ndani kipigo cha aibu
 
Ingekuwa bingwa wa KOMBE hili haendi kuwakilisha kimataifa basi Sahare angeshinda lakn kwakuwa TAIFA linahitaji muwakilishi mwenye uwezo wake basi lazima angalau tupate muwakilishi mwenye msuli kwa namna yoyote ile.

KOMBE la shirikisho África unaenda kukutana na timu bora za nchi mbalimbali sasa huyó Sahare hana ubavu wa kifedha wala uwezo wa wachezaji kushindana zaidi ataenda kulitia aibu Taifa letu kwa kubugizwa magoli ya kutosha.

Tumeyaona hayo kwa Mtibwa alipopata nafasi, round ya pili tu kakutana na Viper ya Uganda akapigwa nje ndani kipigo cha aibu
Kwa hiyo imepangwa iwe hivyo sio, we na marefa wa leo lenu moja,inabidi badi zichaguliwe timu za kushindania FA
 
Kwa hiyo imepangwa iwe hivyo sio, we na marefa wa leo lenu moja,inabidi badi zichaguliwe timu za kushindania FA

Punguza munkari uilewe hoja yangu mkuu,

Hili Kombe bila 'kudhibitiwa' litatupa bingwa wa Hovyo na mwishowe sisi kama Taifa tutaenda kupata aibu kimataifa pale mshindi huyu atakapokutana na wababe wa África.

Fikiria Sahare awe bingwa alafu akutane na moja wapo kati ya hizi hatua za mtoano Nkana Red Devils/ Gor Mahia/ Raja Casablanca/ El Masry au Township Rollers hapo si atabugizwa kapu la magoli ya kutosha na itakuwa fedheha kwa Taifa!!!

Hivyo kwa namna yoyote, hili kombe japo Namungo katangulia fainali lakn bingwa ni lazima awe Simba au Yanga kwa MANUFAA MAPANA YA Taifa, kwasababu wakubwa hawa wana mtaji ( mashabk, fedha, quality ya wachezaji) wa kuwawezesha kupambana na hao magiants wa nchi zingine!

Vilabu vya nchi yako vinapofanya vizuri kimataifa basi unakaribisha hata mawakala kuja kupiga hodi ktk ligi ya nchi yako kusaka vipaji, Kama uonavyo Tp Mazembe na As Vita inavyowawia rahisi kuuza wachezaji wao Ulaya na ht kwa Vilabu vingne vikubwa africa wakati hii nchi iko jirani tu na sisi.


Hvyo ikitokea bingwa akawa Simba basi aliyeshika nafasi ya pili Vodacom Premier League ndio atawakilisha nchi ktk shirikisho!!!!
 
Kama nakumbuka vizuri, Leceister alipanda na moja kwa moja akaenda mpaka UEFA, nadhani kila jambo lina mwanzo, kama kimchezo mmeshindwa kumshinda, angewezeshwa tu kuiwakilisha nchi vyema, TFF na wizara husika si zipo?
 
Kama nakumbuka vizuri, Leceister alipanda na moja kwa moja akaenda mpaka UEFA, nadhani kila jambo lina mwanzo, kama kimchezo mmeshindwa kumshinda, angewezeshwa tu kuiwakilisha nchi vyema, TFF na wizara husika si zipo?
Sio kweli, msimu aliopanda almnanusura ashuke daraja
 
Punguza munkari uilewe hoja yangu mkuu,

Hili Kombe bila 'kudhibitiwa' litatupa bingwa wa Hovyo na mwishowe sisi kama Taifa tutaenda kupata aibu kimataifa pale mshindi huyu atakapokutana na wababe wa África.

Fikiria Sahare awe bingwa alafu akutane na moja wapo kati ya hizi hatua za mtoano Nkana Red Devils/ Gor Mahia/ Raja Casablanca/ El Masry au Township Rollers hapo si atabugizwa kapu la magoli ya kutosha na itakuwa fedheha kwa Taifa!!!

Hivyo kwa namna yoyote, hili kombe japo Namungo katangulia fainali lakn bingwa ni lazima awe Simba au Yanga kwa MANUFAA MAPANA YA Taifa, kwasababu wakubwa hawa wana mtaji ( mashabk, fedha, quality ya wachezaji) wa kuwawezesha kupambana na hao magiants wa nchi zingine!

Vilabu vya nchi yako vinapofanya vizuri kimataifa basi unakaribisha hata mawakala kuja kupiga hodi ktk ligi ya nchi yako kusaka vipaji, Kama uonavyo Tp Mazembe na As Vita inavyowawia rahisi kuuza wachezaji wao Ulaya na ht kwa Vilabu vingne vikubwa africa wakati hii nchi iko jirani tu na sisi.


Hvyo ikitokea bingwa akawa Simba basi aliyeshika nafasi ya pili Vodacom Premier League ndio atawakilisha nchi ktk shirikisho!!!!
Hoja yako haiwezi kuhalalisha maamuzi mabovu na pengine ya makusudi ya refarii. Ni vyema haki ikatendeka na mshindi akasaidiwa rasilimali za kumuwezesha kushiriki.
 
Hoja yako haiwezi kuhalalisha maamuzi mabovu na pengine ya makusudi ya refarii. Ni vyema haki ikatendeka na mshindi akasaidiwa rasilimali za kumuwezesha kushiriki.

Ni kweli usemayo, lakn kama mambo yashapangwa basi mtekelezaji mkuu ni refarii.

Kagera Sugar kalalamika kaonewa dhidi ya Yanga na watu wote tumeona namna mwamuzi Shomari Lawi alivyowanyonga Kagera, hvyo tutamlaumu Shomari kumbe alikuwa akitekeleza maagizo ya wakubwa zake
 
Msimu aliokuwa bingwa ni msimu uliofatia, weka kumbukumbu zako sawa mkuu, hakutoka kupanda daraja hadi kuwa bingwa,
Nadhani huelewi mkuu. Nimeandika hapo baada ya kunikumbusha, na ndio maana niliweka "kama nakumbuka vizuri".

Narudia kama hapo juu, msimu wa 14/15 aliishia nafasi ya 14 kwenye msimamo wa ligi na msimu wa 15/16 akawa bingwa. Au unazungumzia msimu wa 2003 huko?
 
Nadhani huelewi mkuu. Nimeandika hapo baada ya kunikumbusha, na ndio maana niliweka "kama nakumbuka vizuri".

Narudia kama hapo juu, msimu wa 14/15 aliishia nafasi ya 14 kwenye msimamo wa ligi na msimu wa 15/16 akawa bingwa. Au unazungumzia msimu wa 2003 huko?
Nimekuelewa sasa
 
Ingekuwa bingwa wa KOMBE hili haendi kuwakilisha kimataifa basi Sahare angeshinda lakn kwakuwa TAIFA linahitaji muwakilishi mwenye uwezo wake basi lazima angalau tupate muwakilishi mwenye msuli kwa namna yoyote ile.

KOMBE la shirikisho África unaenda kukutana na timu bora za nchi mbalimbali sasa huyó Sahare hana ubavu wa kifedha wala uwezo wa wachezaji kushindana zaidi ataenda kulitia aibu Taifa letu kwa kubugizwa magoli ya kutosha.

Tumeyaona hayo kwa Mtibwa alipopata nafasi, round ya pili tu kakutana na Viper ya Uganda akapigwa nje ndani kipigo cha aibu
hayo maslai mapana ya taifa ndio mnatapeli watu watu wanaacha kazi zao na wanatumia pesa zao kuja uwanjan kumbe mshindi ashajulikana kabla ya mechi kuanza huo cniutapeli na watu wakisusa kuja uwanjan itakuwa ni maslahi.ya nani?
 
Ingekuwa bingwa wa KOMBE hili haendi kuwakilisha kimataifa basi Sahare angeshinda lakn kwakuwa TAIFA linahitaji muwakilishi mwenye uwezo wake basi lazima angalau tupate muwakilishi mwenye msuli kwa namna yoyote ile.

KOMBE la shirikisho África unaenda kukutana na timu bora za nchi mbalimbali sasa huyó Sahare hana ubavu wa kifedha wala uwezo wa wachezaji kushindana zaidi ataenda kulitia aibu Taifa letu kwa kubugizwa magoli ya kutosha.

Tumeyaona hayo kwa Mtibwa alipopata nafasi, round ya pili tu kakutana na Viper ya Uganda akapigwa nje ndani kipigo cha aibu
Walikua Kampala City Council Bhana...Fanya Ku edit hapo...Hao KCCA wanaweza kuinyoosha timu yeyote ile hapa East Africa mini Mtibwa wauliza Azam Kagame Cup walikutana Mara mbili akaoshwa zote...ni timu yenye ubora kama Simba...Azam...Gormahia au Yanga.
 
Punguza munkari uilewe hoja yangu mkuu,

Hili Kombe bila 'kudhibitiwa' litatupa bingwa wa Hovyo na mwishowe sisi kama Taifa tutaenda kupata aibu kimataifa pale mshindi huyu atakapokutana na wababe wa África.

Fikiria Sahare awe bingwa alafu akutane na moja wapo kati ya hizi hatua za mtoano Nkana Red Devils/ Gor Mahia/ Raja Casablanca/ El Masry au Township Rollers hapo si atabugizwa kapu la magoli ya kutosha na itakuwa fedheha kwa Taifa!!!

Hivyo kwa namna yoyote, hili kombe japo Namungo katangulia fainali lakn bingwa ni lazima awe Simba au Yanga kwa MANUFAA MAPANA YA Taifa, kwasababu wakubwa hawa wana mtaji ( mashabk, fedha, quality ya wachezaji) wa kuwawezesha kupambana na hao magiants wa nchi zingine!

Vilabu vya nchi yako vinapofanya vizuri kimataifa basi unakaribisha hata mawakala kuja kupiga hodi ktk ligi ya nchi yako kusaka vipaji, Kama uonavyo Tp Mazembe na As Vita inavyowawia rahisi kuuza wachezaji wao Ulaya na ht kwa Vilabu vingne vikubwa africa wakati hii nchi iko jirani tu na sisi.


Hvyo ikitokea bingwa akawa Simba basi aliyeshika nafasi ya pili Vodacom Premier League ndio atawakilisha nchi ktk shirikisho!!!!
Ulichokiandika kina ukweli mchungu sana...maana kosa ni la vilabu vyenyewe havina pesa vifanye mambo mengine...Mpira ni pesa ubora unakuja automatically.
Kuna siku majimaji walikua wanaongea jinsi wanavyopambana na njaa kuja ligi kuu.Edo Kumwembe alionge ukweli mchungu kwamba mnatuletea njaa ligi kuu pambaneni mpate pesa pia siyo kuja huku mnaua ubora wa ligi.
Ni kweli kabisa watauza mechi kwa kusafirishwa na timu zenye msuli kwa kulipiwa Hoteli na usafiri kwasababu ya nzala waliyonayo.
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Kama nakumbuka vizuri, Leceister alipanda na moja kwa moja akaenda mpaka UEFA, nadhani kila jambo lina mwanzo, kama kimchezo mmeshindwa kumshinda, angewezeshwa tu kuiwakilisha nchi vyema, TFF na wizara husika si zipo?
TFF na Wizara zinadeal na timu ya taiga.Club ni private owned...unalijua hill?
 
Back
Top Bottom