Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,322
Asubuhi hii nimeenda dukani kwa jamaa kavaa jezi ya SIMBA.. nikamwambia naomba UNGA WA NGANO chapa AZAM KILO 1 nataka nikapike chapati,
Naona kafunga Duka katoka zake hajanisemesha...
Nahisi kenda kuchukua MIZANI YA KUPIMIA.
[HASHTAG]#AZAM[/HASHTAG]..Bidhaa bora ya Bakhresa