Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,441
- 7,780
Leo timu ya soka Azam iko kwenye hatua za awali za kombe la shirikisho, mechi ya kwanza Azam iliibuka na ushindi wa 3-1. Kwa sasa mechi inaelekea mapumziko na Azam inaongoza kwa goli 0-1 goli lililofungwa na Ismail Kader dakika ya 37. Aggregate Horseed 1-4 Azam. Horseed inahitaji magoli matatu kuweka uwanja sawa
Azam ikifuzu leo itakutana na Pyramids ya Misri kwenye hatua ya pili kombe la shirikisho barani Afrika
37' ⚽ Ismail Kader anaitanguliza Azam kwa shuti kali linamuacha mlinda mlango wa Horseed akigaagaa chini
90+4' Kipenga kinapiliza kuashiria mwisho wa mchezo. Horseed 0-1 Azam FC
Azam ikifuzu leo itakutana na Pyramids ya Misri kwenye hatua ya pili kombe la shirikisho barani Afrika
37' ⚽ Ismail Kader anaitanguliza Azam kwa shuti kali linamuacha mlinda mlango wa Horseed akigaagaa chini
90+4' Kipenga kinapiliza kuashiria mwisho wa mchezo. Horseed 0-1 Azam FC