Azam FC Washusha Basi Jipya-Kiu- laya Ulaya

Home » Unlabelled » BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA
Hakuna Afrika nzima; Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi. Hili ni aina ya mabasi ambayo yanatumiwa na klabu za Ulaya kama Manchester United, Bayen Munich na Barcelona ambalo kwa Afrika Azam inaweza kuwa klabu ya kwanza kulimiliki
Basi la mchina, hamna club ya ULAYA INA basi duni namna hii
 
Yaani inaniuma maana jamaa anaivest fedha nyingi sana kwenye timu, anawajali wachezaji lakini bure kabisa
 
Yaani inaniuma maana jamaa anaivest fedha nyingi sana kwenye timu, anawajali wachezaji lakini bure kabisa

Mkuu Saana tu, na anawajali pia,ila tunashindwa kuelewa tatizo ni wasimamizi wa iyo timu ama ni wachezaji wenyewe kutojituma?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom