DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 2,361
- 1,538
timu za afrika zinajivunia makombe nyiemnajivunia bus
Acha chuki yebo yebo wewee aka madaso..Hao wanaojivunia pia na wao wanayo mazuri!
Azam ingekuwa timu dhaifu hapo ningekuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
timu za afrika zinajivunia makombe nyiemnajivunia bus
yeboyebo ukoo wenu wote hunijui halafu unajifanya unanijua chura weAcha chuki yebo yebo wewee aka madaso..Hao wanaojivunia pia na wao wanayo mazuri!
Azam ingekuwa timu dhaifu hapo ningekuelewa
yeboyebo ukoo wenu wote hunijui halafu unajifanya unanijua chura we
Basi la mchina, hamna club ya ULAYA INA basi duni namna hiiHome » Unlabelled » BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA
ahsante na samahani kwa kutokuelewaNaona hujanielewa, sijamaanisha ni wewe..bali ni young Africans
Yaani inaniuma maana jamaa anaivest fedha nyingi sana kwenye timu, anawajali wachezaji lakini bure kabisa