ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
thanks sana amavubi kwa kuitupia maana net ilikuwa inazingua upande wangu..Home » Unlabelled » BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA
thanks sana amavubi kwa kuitupia maana net ilikuwa inazingua upande wangu..Home » Unlabelled » BASI JIPYA LA AZAM LAWASILI...KAMA LA KLABU KUBWA ZA ULAYA
Kwani hao Azam kama siyo SSB hilo basi wangelipata wapi? Inawezekana hujui tofauti iliyopo kati ya Azam FC na makampuni ya SSB! Endelea kushabikia ujinga. Hebu fikiria kama Skandinavian Express Ltd ingekuwa na timu ya mpira, hiyo timu leo ingekuwaje? Au hata kampuni ya Mwanamboka ingekuwa na timu, hali ingekuwaje? TRC ilipokufa na Reli FC ilikufa. Azam nayo itakufa hivyo hivyo!
Kwani hao Azam kama siyo SSB hilo basi wangelipata wapi? Inawezekana hujui tofauti iliyopo kati ya Azam FC na makampuni ya SSB! Endelea kushabikia ujinga. Hebu fikiria kama Skandinavian Express Ltd ingekuwa na timu ya mpira, hiyo timu leo ingekuwaje? Au hata kampuni ya Mwanamboka ingekuwa na timu, hali ingekuwaje? TRC ilipokufa na Reli FC ilikufa. Azam nayo itakufa hivyo hivyo!
mkuu bagamoyo kwa umri nilio nao; hata kama azam watachukua ubingwa miaka yote ya uhai wangu uliosalia katu/kamwe haitatokea wapate ubingwa mara 24 kama mabingwa yanga au hata mara 18 kama wachovu simba kabla sijalala kaburuni. Nadhani umenielewa vizuri.
na wewe ni mjinga tu na ndiyo maana unashabikia yanga kwa sababu ni mjinga! Yaani mawazo yako azam ife! Na isipokufa je? Chelsea, man u, liverpool, arsenal, etc zimeanzishwa mwaka gani, mbona hazijafa? Ndiyo maana yanga mmejaa chuki na fitina tu!
unajichanganya sana kwenye michango yakoUnajua bei yake? Unataka kujenga ghorofa na pesa huna! Majuzi tu timu imekopeshwa na IAR $ 5,000 na hakuanza juzi, huwa anawakopesha mara kwa mara (Rage, 2013). Kwa mwendo huu, jipime kama klabu yako inaweza kununua hata basi la 50m/=.
Kuna ulichochangia hapo? zaidi ku-copy na ku-paste.Tafuta mtu akusaidie kuelewa habari sio kila pumba unaleta JFWewe una hadhi ya kuchangia kwenye face book tu, naona hapa mnachanganyana wenyewe,
Kuna ulichochangia hapo? zaidi ku-copy na ku-paste.Tafuta mtu akusaidie kuelewa habari sio kila pumba unaleta JF
Nilishakwambia JF ina standard zake,hizi pumba unazoleta zinahitaji kupepetwa,Man United ,Bayern,Barcelona hawawezi kutumia mabasi ya kichina ya Higer
View attachment 129722
Angalia hilo bus la Bayern Munich
jaribu japo kufanya contextual analysis kwenye michango yako hapa
Basi lenyewe HIGER la kichina si Kama YUTONG tu,man u au real Madrid ,Barcelona hawawezi kupanda gari la mchina ..Azam wanunue Hadi ndege ubingwa wasahau..unacheza na zengwe
Nimekwambia tangu mwanzo,Azam FC haina mapato ya kuweza kununua hilo bus,basi limenunuliwa na pesa za Bakhresa.
Maendeleo tunayozungumza kwenye soka letu ni klabu ziweze kujiendesha kununua wachezaji na kulipa wachezaji/makocha mishahara kwa pesa za klabu na sio pesa za watu binafsi.Mapato ya klabu yanaweza kutokana na gate collection,kuuza wachezaji,kuuza bidhaa za klabu (merchandise),mikataba ya udhamini na makampuni mbalimbali.So far gharama zote za Azam FC still ni pesa kutoka mfukoni kwa Bakhresa
Ndio maana najaribu kumweleza analeta ubishi usio na maana,Jaribu kumwelewesha huyo mwanamke labda atakuelewa.tunaanza na loss inakuja faida sasa..
Nimekwambia tangu mwanzo,Azam FC haina mapato ya kuweza kununua hilo bus,basi limenunuliwa na pesa za Bakhresa.
Maendeleo tunayozungumza kwenye soka letu ni klabu ziweze kujiendesha kununua wachezaji na kulipa wachezaji/makocha mishahara kwa pesa za klabu na sio pesa za watu binafsi.Mapato ya klabu yanaweza kutokana na gate collection,kuuza wachezaji,kuuza bidhaa za klabu (merchandise),mikataba ya udhamini na makampuni mbalimbali.So far gharama zote za Azam FC still ni pesa kutoka mfukoni kwa Bakhresa
View attachment 129720
huyo ni mchezaji sijui wewe una hadhi gani
na wewe ni mjinga tu na ndiyo maana unashabikia yanga kwa sababu ni mjinga! yaani mawazo yako azam ife! na isipokufa je? chelsea, man u, liverpool, arsenal, etc zimeanzishwa mwaka gani, mbona hazijafa? ndiyo maana yanga mmejaa chuki na fitina tu!