Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi la Mani U
higer, basi la mchina hilo,, af la kawaida tu ila wabongo hatuja yazoea. Zambia, zimbabwe zina tumika kama school bus pia
Wewe umeandika au umecopy na ukaja kupaste hapa?
Hiyo hela imetoka kwa Bakhresa nimekwambia Azam Fc wanaingiza mapato gani hadi wanunue hilo bus?
simba na Yanga wanalo? acheni hizo
GUD.bado club ya simba tutaleta kali zaidi muda si mrefu
Ndiyo, wana Yutong za Kichina kama ilivyo Higer pia, tatizo liko wapi sasa? Ushamba wa 'mashikolo mageni' ndio unaosumbua watu hadi kuanza kushangilia mambo ya kawaida tu.
Sisi tunataka ubingwa siyo BUS. BUS halitusaidii lolote.
Ha ha ha ha haaa wewe kweli mbulula kukosa hao tbl kuwanunulia mgekuwa mnaendelea kupanda mabasi yenu yalio andikwa k/koo - mbagala mpaka mgekufa..... Azam hoyeeeeeeeeeeeeee.