kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Wadau hii timu ya Azam inatatizogani? ni mgomo baridi wa wachezaji, kocha ni wa kuungaunga au vipi? maana ni moja ya timu zilizosheheni wachezaji wazuri.
wananikumbusha Man City!Wadau hii timu ya Azam inatatizogani? ni mgomo baridi wa wachezaji, kocha ni wa kuungaunga au vipi? maana ni moja ya timu zilizosheheni wachezaji wazuri.