Azam FC kwa hili nao wahesabiwe kuwa ni washirikina?

Yanga hawakupata kipigo kutoka simba. Ingeweza kuwa either way, ule siyo ushindi wa kipigo.
Na kweli waligawana pointi. Unapaki basi na kufanya sherehe ETI nimefungwa moja.
Kwani Chura kapata pointi ngapi kwenye mchezo wao na Azam kapata pointi ngapi??
Ujinga ni ugonjwa. Pukachaka.
 
Ukisoma ulichoandika wewe ndo utaona kuwa umejazibika sana.😁😁😁
Huko nongo mnacheza nyie wenzenu wanacheza uwanjani na ndo maana wanapata matokeo. Yanga waliruhusu kagere aingize kichwa tu.... Wakapata mimba watoto watatu mapacha.

Azam wao wakaja na upumbavuh wao kagere kawakojolea mara mbili okwi once.nao mimba watoto mapacha watatu.

Si mnasema ilitumika condom? Haikusaidia....kagere mhuni kaingiza kichwa na kawazalisha...aliwabembeleza sana "bas nakuingiza kichwa tu baby... Wala sikojolei ndani" matokeo yake mimba watoto watatu. Azam wamepigwa mtungo.😂😂😜😜
Mkuu... umenifanya nicheke sana aisee.
 
  • Thanks
Reactions: Tui

Similar Discussions

Back
Top Bottom