Na kweli waligawana pointi. Unapaki basi na kufanya sherehe ETI nimefungwa moja.Yanga hawakupata kipigo kutoka simba. Ingeweza kuwa either way, ule siyo ushindi wa kipigo.
Kwani Chura kapata pointi ngapi kwenye mchezo wao na Azam kapata pointi ngapi??
Ujinga ni ugonjwa. Pukachaka.