Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Leo kutakuwa na Mtanange wa Kukata na Shoka kati Azam Fc na Yanga SC.
.
Wakuu mechi hii itaanza majira ya saa 2:15 usiku Uwanja wa Chamazi Complex.
.
Tunajua ugumu wa game hii ya leo Ukizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
.
Azam FC ni Mwenyeji wa Mchezo wa Leo Dhidi ya Yanga.
.
Huku Team Ya Yanga ikiwakosa Wachezaji wake kama Feisal Salum, Bangala, Aucho nk.
==================================
YANGA YAIFUNGA AZAM FC 2-1, YAFIKISHA POINTI 51
Yanga wameendelea kujiimarisha katika kilele cha Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex, Aprili 6, 2022.
Yanga imepata mabao yake kupitia wa Djuma Shaban kwa njia ya penati na Fiston Mayele, bao la Azam FC limefungwa na Rodgers Kola.
Yanga imefikisha pointi 51 wakati Azam FC imebaki na pointi 28 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi.
.
Wakuu mechi hii itaanza majira ya saa 2:15 usiku Uwanja wa Chamazi Complex.
.
Tunajua ugumu wa game hii ya leo Ukizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
.
Azam FC ni Mwenyeji wa Mchezo wa Leo Dhidi ya Yanga.
.
Huku Team Ya Yanga ikiwakosa Wachezaji wake kama Feisal Salum, Bangala, Aucho nk.
==================================
YANGA YAIFUNGA AZAM FC 2-1, YAFIKISHA POINTI 51
Yanga wameendelea kujiimarisha katika kilele cha Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex, Aprili 6, 2022.
Yanga imepata mabao yake kupitia wa Djuma Shaban kwa njia ya penati na Fiston Mayele, bao la Azam FC limefungwa na Rodgers Kola.
Yanga imefikisha pointi 51 wakati Azam FC imebaki na pointi 28 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi.