Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,355
- 11,500
Mimi nmejiunga Azam Max. Nalipia vizuri na nakuwa nmejiunga bundle la kutosha niweze angalia mechi za ligi ya ndani. Hasa team yangu pendwa ya Dar Young Africans inapocheza. Mechi ya pili hii nashindwa kwa kupata this msg kila mpira unapoanza.