Azam acheni kuonyesha habari za michezo tusije tukalipuliwa na magaidi

Wazolee

JF-Expert Member
Sep 1, 2018
2,699
3,088
Kipindi azama mnazuiliwa kuonyesha taarifa ya habari katika channel ya azam two nilitaka sana kujua sababu

Maana local channel mliambiwa mziondoe kwa kuwa leseni zenu haziruhusu kuwaonyesha wateja wenu local channel kwa sababu king'amuzi chenu ni cha kulipia

Hivyo mwananchi Mwenye king'amuzi cha kulipia haruhusiwi kuona local channel ndio sheria ya nchi inavyo sema na hi sheria imetungwa na watu wenye PHD na waledi wa hali ya juu sana hivyo haiwezi kubadilishwa ma malalamiko ya wananchi walio amua kuwa na ving'amuzi vya kulipia hakuna mtu aliyeyasikiliza

Sasa pia nikataka kujua kwa nini azam two haionye taarifa ya habari nikasikia TCRA wanasema azam wakionyesha taarifa ya habari nchi inaweza ikalipuliwa na magaidi kwa kuwa mitambo yao ipo nje ya nchi

Japo sielewi maana taarifa ya habari azamu two sasa wanaonyesha katika app hivi hawa magaidi hawawezi kuiona wakatulipua?

azamu two sasa wanaonyesha habari za michezo kila siku saa 3 usiku wanaita mshike mshike sasa je hi haiwezi ikafanya tulipuliwe na magaidi? Ni hayo tu nayotaka kujua na umbumbu wangu
 
Mbona CNN na BBC zinaonyesha habari za kwao worldwide na hawalipuliwi nchi zao ama kweli ukistaajabu ya musa hujayaona ya filauni
 
Kipindi azama mnazuiliwa kuonyesha taarifa ya habari katika channel ya azam two nilitaka sana kujua sababu

Maana local channel mliambiwa mziondoe kwa kuwa leseni zenu haziruhusu kuwaonyesha wateja wenu local channel kwa sababu king'amuzi chenu ni cha kulipia

Hivyo mwananchi Mwenye king'amuzi cha kulipia haruhusiwi kuona local channel ndio sheria ya nchi inavyo sema na hi sheria imetungwa na watu wenye PHD na waledi wa hali ya juu sana hivyo haiwezi kubadilishwa ma malalamiko ya wananchi walio amua kuwa na ving'amuzi vya kulipia hakuna mtu aliyeyasikiliza

Sasa pia nikataka kujua kwa nini azam two haionye taarifa ya habari nikasikia TCRA wanasema azam wakionyesha taarifa ya habari nchi inaweza ikalipuliwa na magaidi kwa kuwa mitambo yao ipo nje ya nchi

Japo sielewi maana taarifa ya habari azamu two sasa wanaonyesha katika app hivi hawa magaidi hawawezi kuiona wakatulipua?

azamu two sasa wanaonyesha habari za michezo kila siku saa 3 usiku wanaita mshike mshike sasa je hi haiwezi ikafanya tulipuliwe na magaidi? Ni hayo tu nayotaka kujua na umbumbu wangu
Mkuu hata sijakuelewa sijui unataka kutueleza nini!! Ninachojuwa kuna leseni za aina tatu kama sijakosea zinazotolewa na TCRA hii ni kutokana na sheria iliyopitishwa na bunge letu. Leseni aliyonayo Azam ni ya kulipia ambapo yeye anatakiwa kurusha contents zilizoandaliwa na watengenezaji wa contents. Pia kuna leseni ya watengeneza contents kama ITV Start TV TBC1 n.k. na tatu kuna leseni ya warushaji wa contents au maudhui yasiyolipiwa ambapo ni lazima warushe taarifa za habari za watengenezaji maudhui au contents. Hivyo Azam leseni yake ni yakulipia akitaka achukue leseni ambayo si ya kulipia kwenye maudhui ya taarifa za habari.
 
tunaongozwa na kichaa ..wataka watendaji wake wawe wazima ""??
 
Kipindi azama mnazuiliwa kuonyesha taarifa ya habari katika channel ya azam two nilitaka sana kujua sababu

Maana local channel mliambiwa mziondoe kwa kuwa leseni zenu haziruhusu kuwaonyesha wateja wenu local channel kwa sababu king'amuzi chenu ni cha kulipia

Hivyo mwananchi Mwenye king'amuzi cha kulipia haruhusiwi kuona local channel ndio sheria ya nchi inavyo sema na hi sheria imetungwa na watu wenye PHD na waledi wa hali ya juu sana hivyo haiwezi kubadilishwa ma malalamiko ya wananchi walio amua kuwa na ving'amuzi vya kulipia hakuna mtu aliyeyasikiliza

Sasa pia nikataka kujua kwa nini azam two haionye taarifa ya habari nikasikia TCRA wanasema azam wakionyesha taarifa ya habari nchi inaweza ikalipuliwa na magaidi kwa kuwa mitambo yao ipo nje ya nchi

Japo sielewi maana taarifa ya habari azamu two sasa wanaonyesha katika app hivi hawa magaidi hawawezi kuiona wakatulipua?

azamu two sasa wanaonyesha habari za michezo kila siku saa 3 usiku wanaita mshike mshike sasa je hi haiwezi ikafanya tulipuliwe na magaidi? Ni hayo tu nayotaka kujua na umbumbu wangu
Hapa kuna kitu mkuu unaficha maana naona kuna elements za udini zaidi kuliko ukweli.

Yapo malalamiko fulani huwa nayasikia kuwa kuna watu wa dini fulani huwa wananyanyaswa, viongozi wao kuitwa magaidi na pia kila wakifanya huwa hubaguliwa kwa njia hyo.

Suala la azam kutokuonyesha local channels ni ishu ambayo inatakiwa kabla hujaizungumzia basi ni bora uwatafute na wakuambie lakini kukimbilia kutoa hukumu kama anavyosema huyo mtu hapo juu ni jambo ambalo ukiweza kumdanganya kidogo basi unawez kumjaza kitu fulani na mwisho wa siku anawez hata kujilipua tu kwa kitu kidogo ambacho kwa wengine wanaweza sema ndo utaahira unapoanzia.

Watanzania wenzangu, sometimes tunajua hatuna profession mbali mbali hivyo ni budi mtu kuweza kuuliza na kujua kuliko kuweka kichwani na kuwaza kuwa kila kitu kinafanyika kisa ni sababu ambazo hazina mashiko wala kuna mtu ananyanyasa.

Mbona dstv, zbc, BBC na TV zingine zinaonyesha taarifa zao katika satellite na dunia nzima inaona, na zinamilikiwa na watu au taasis za dini na watu binafsi wenye dini zao hakuna serikali iliyowahi sema kama huyu mtanzania kuhusu maudhui au taarifa za kupotosha?

Nimesikitika sana baada ya kusoma text yke.

Maadam kuna mtu kajibu kuhusu aina za leseni, nadhani imeeleweka.
 
Hapa kuna kitu mkuu unaficha maana naona kuna elements za udini zaidi kuliko ukweli.

Yapo malalamiko fulani huwa nayasikia kuwa kuna watu wa dini fulani huwa wananyanyaswa, viongozi wao kuitwa magaidi na pia kila wakifanya huwa hubaguliwa kwa njia hyo.

Suala la azam kutokuonyesha local channels ni ishu ambayo inatakiwa kabla hujaizungumzia basi ni bora uwatafute na wakuambie lakini kukimbilia kutoa hukumu kama anavyosema huyo mtu hapo juu ni jambo ambalo ukiweza kumdanganya kidogo basi unawez kumjaza kitu fulani na mwisho wa siku anawez hata kujilipua tu kwa kitu kidogo ambacho kwa wengine wanaweza sema ndo utaahira unapoanzia.

Watanzania wenzangu, sometimes tunajua hatuna profession mbali mbali hivyo ni budi mtu kuweza kuuliza na kujua kuliko kuweka kichwani na kuwaza kuwa kila kitu kinafanyika kisa ni sababu ambazo hazina mashiko wala kuna mtu ananyanyasa.

Mbona dstv, zbc, BBC na TV zingine zinaonyesha taarifa zao katika satellite na dunia nzima inaona, na zinamilikiwa na watu au taasis za dini na watu binafsi wenye dini zao hakuna serikali iliyowahi sema kama huyu mtanzania kuhusu maudhui au taarifa za kupotosha?

Nimesikitika sana baada ya kusoma text yke.

Maadam kuna mtu kajibu kuhusu aina za leseni, nadhani imeeleweka.
Ina maana wewe hukusikia sababu ya azamu kuzuiwa kuandaa na kurusha taarifa ya habari kupitia channel yao ya azam two kuwa wanahatalisha usalama wa nchi kwa kuwa mitambo wanayo itumia ipo nje ya Tanzania
 
Back
Top Bottom