Azaliwa na Sura Mbili

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
4.jpg
Madaktari wa Hospitali ya Holy Family (HFH) mjini hapa wanapigania maisha ya mtoto aliyezaliwa Septemba 25, mwaka huu akiwa na sura mbili na uzito wa kilo 3.2.
 
4.jpg
Madaktari wa Hospitali ya Holy Family (HFH) mjini hapa wanapigania maisha ya mtoto aliyezaliwa Septemba 25, mwaka huu akiwa na sura mbili na uzito wa kilo 3.2.

ila nina mashaka..hii imetokea hapa bongo? Mbona mtoto yupo kama mchina? Usikute umekopi na kupesti kupata attention yetu.
 
Mke wako mjamzito ukimpeleka kwenda kujifungulia hospitali ya wachina angalia sana anaweza akapewa mtoto feki. Kuna watu yamewakuta pale Sinza.
 
hata hiyo picha na mashaka nayo kama ni mchina maana hawa jamaa ni noma
 
Back
Top Bottom