egentle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 810
- 375
feed our hangry mind.
Nakumbuk hilo song, lilivyo kolevya na kupambwa na misauti mizito bt ilikuwa baridaa sana, enzi hizo.
Lebo yangu ilikuwa nyekundu, full kutawaliwa na mavurugu hii lebo ilikuwa noma sana.
Nakumbuka stiki za mchwaa, fix za mkongo na mambo mengi sana.
VIVA AZANI, LOV U AZANIA.
nimeon niseme kidgo kuhusu Azaboy ili wadau wengine mlete vile vituko, mabifu na Tambaza, mitikqsi ya kukamata watoto wa Zanaki , Jangwani....Fungukeni Azaboy
Nakumbuk hilo song, lilivyo kolevya na kupambwa na misauti mizito bt ilikuwa baridaa sana, enzi hizo.
Lebo yangu ilikuwa nyekundu, full kutawaliwa na mavurugu hii lebo ilikuwa noma sana.
Nakumbuka stiki za mchwaa, fix za mkongo na mambo mengi sana.
VIVA AZANI, LOV U AZANIA.
nimeon niseme kidgo kuhusu Azaboy ili wadau wengine mlete vile vituko, mabifu na Tambaza, mitikqsi ya kukamata watoto wa Zanaki , Jangwani....Fungukeni Azaboy