Azaboy, Jangwani, Zanaki, Kisutu, tukutane hapa

egentle

JF-Expert Member
Nov 16, 2014
810
375
…………feed our hangry mind.

Nakumbuk hilo song, lilivyo kolevya na kupambwa na misauti mizito bt ilikuwa baridaa sana, enzi hizo.

Lebo yangu ilikuwa nyekundu, full kutawaliwa na mavurugu hii lebo ilikuwa noma sana.
Nakumbuka stiki za mchwaa, fix za mkongo na mambo mengi sana.

VIVA AZANI, LOV U AZANIA.
nimeon niseme kidgo kuhusu Azaboy ili wadau wengine mlete vile vituko, mabifu na Tambaza, mitikqsi ya kukamata watoto wa Zanaki , Jangwani....Fungukeni Azaboy
 
Jangwani mojaaa....namkumbuka Mr Mbowe RIP na Mama Nkya...

Na Head wetu Mrs Mabula...she was so cool....
 
Jangwani mojaaa....namkumbuka Mr Mbowe RIP na Mama Nkya...

Na Head wetu Mrs Mabula...she was so cool....

unakumbuka nn hapa?
 

Attachments

  • 1417338961793.jpg
    1417338961793.jpg
    37.7 KB · Views: 646
in the heaven of peace azania stand atease
to awaken strengen to feed our hungry minds

Your nor far and wide your always our guide we look at you we fly

Azania has a key to a good and better life........


ndipo nakumbuka hapa
 
unakumbuka nn hapa?

Hahahaaa nakumbuka kile kigeti cha kuingilia Azania kupitia jangwani...

Halafu wamekiziba...ile ilikuwa njia ya kutorokea. Tunaingilia pale tunazuga tunaenda library halafu ndukiiii.....
 
Hahahaaa nakumbuka kile kigeti cha kuingilia Azania kupitia jangwani...

Halafu wamekiziba...ile ilikuwa njia ya kutorokea. Tunaingilia pale tunazuga tunaenda library halafu ndukiiii.....

Kile kigeti, kimetumika kwa mengii
 
in the heaven of peace azania stand atease
to awaken strengen to feed our hungry minds

Your nor far and wide your always our guide we look at you we fly

Azania has a key to a good and better life........


ndipo nakumbuka hapa

Hauku opoa demu pale jangwani,
 
Enzi hizo mkituonq watoto wa Aza boy, basi full kujirembesha....sijui nivae zile nguo tena

Hahahaaa na tulivyokuwa na swaga ndani ya karoti na raba nyeupe....Halafu kulikuwa na watoto wana mata.ko paleeee......ni Shidaaa vaa tena uniform....
 
Hahahaaa na tulivyokuwa na swaga ndani ya karoti na raba nyeupe....Halafu kulikuwa na watoto wana mata.ko paleeee......ni Shidaaa vaa tena uniform....

Ntavaaa nipite pite makazini, lazma nikamate kibinda nkoiii,,,,,aisee.
 
Aiseeee endeleeni kutumwagia mchele wale tuliosoma kibosho girls, umbwe, weruweru, masama, bi shop, masalato enzi hizo bwiru na kwingineko tufaidi mauzauza msiogope.

Si dhambi ukitupa utamu wa huko piaa
 
Back
Top Bottom