Ayub Rioba: Niliipenda sana CCM, ila Mungu anaweza kuipenda zaidi 2015

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,759
12,175
Swali muhimu ni je;
  1. chama kinaweza kuwaapia Watanzania leo kwamba wasipokipatia ridhaa hiyo mwaka 2015 kitakabidhi madaraka kwa chama kitakachoshinda kwa kura nyingi?
  2. Na endapo CCM hakiwezi kuahidi hadharani kwa kuapa, upo uwezekano tukaanza kujadiliana jinsi ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa mapema ili kujenga kwanza muafaka wa kitaifa badala ya kuendelea na mipango ya uchaguzi tukiwa na huu uhasama uliojaa uroho, chuki, fitna na ndwele, ambao tumekwishaona tayari, unajenga misingi ya kuvunja taifa letu?
Source: Raia Mwema
 
Swali muhimu ni je;
  1. chama kinaweza kuwaapia Watanzania leo kwamba wasipokipatia ridhaa hiyo mwaka 2015 kitakabidhi madaraka kwa chama kitakachoshinda kwa kura nyingi?
  2. Na endapo CCM hakiwezi kuahidi hadharani kwa kuapa, upo uwezekano tukaanza kujadiliana jinsi ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa mapema ili kujenga kwanza muafaka wa kitaifa badala ya kuendelea na mipango ya uchaguzi tukiwa na huu uhasama uliojaa uroho, chuki, fitna na ndwele, ambao tumekwishaona tayari, unajenga misingi ya kuvunja taifa letu?
Source: Raia Mwema

Maswali ya kitoto hayo.
 
Swali muhimu ni je;
  1. chama kinaweza kuwaapia Watanzania leo kwamba wasipokipatia ridhaa hiyo mwaka 2015 kitakabidhi madaraka kwa chama kitakachoshinda kwa kura nyingi?
  2. Na endapo CCM hakiwezi kuahidi hadharani kwa kuapa, upo uwezekano tukaanza kujadiliana jinsi ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa mapema ili kujenga kwanza muafaka wa kitaifa badala ya kuendelea na mipango ya uchaguzi tukiwa na huu uhasama uliojaa uroho, chuki, fitna na ndwele, ambao tumekwishaona tayari, unajenga misingi ya kuvunja taifa letu?
Source: Raia Mwema

Mungu ametupatia bahati kubwa sana kuzaliwa Tanzania. Jambo ambalo Mungu bado hajatupatia ni viongozi BORA na WENYE AKILI na UPENDO na nchi yao. Matatizo ni mengi sana na hayo yote yanategemea sana nguvu ya vyama vya upinzani kutunasua kutoka hapa tulipo. Kwa upande mwingine bwa Ryoba na wenzake wana kazi kubwa sana kuelimisha jamii yetu ili watu waelewe kuwa wamenasa kwenye mtego na hivyo wanapaswa kujinasua. Mungu wajalie Watanzania UELEWA ili nchi hii iende kwenye mwelekeo unaotakiwa.
 
RULERS never give in easily, think of plan B
\
Yes plan B, what is that;
  1. toppling the government? No, it is not accepted by international community!
  2. Peoples power? No, it may bring chaos!
  3. strikes? No, the economy may collapse!
​Please advise!
 
Swali muhimu ni je;
  1. chama kinaweza kuwaapia Watanzania leo kwamba wasipokipatia ridhaa hiyo mwaka 2015 kitakabidhi madaraka kwa chama kitakachoshinda kwa kura nyingi?
  2. Na endapo CCM hakiwezi kuahidi hadharani kwa kuapa, upo uwezekano tukaanza kujadiliana jinsi ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa mapema ili kujenga kwanza muafaka wa kitaifa badala ya kuendelea na mipango ya uchaguzi tukiwa na huu uhasama uliojaa uroho, chuki, fitna na ndwele, ambao tumekwishaona tayari, unajenga misingi ya kuvunja taifa letu?
Source: Raia Mwema

Nimeipanda sana heading yako: " Niliipenda sana CCM, ila Mungu anaweza akaipenda zaidi 2015".
 
Mungu ametupatia bahati kubwa sana kuzaliwa Tanzania. Jambo ambalo Mungu bado hajatupatia ni viongozi BORA na WENYE AKILI na UPENDO na nchi yao. Matatizo ni mengi sana na hayo yote yanategemea sana nguvu ya vyama vya upinzani kutunasua kutoka hapa tulipo. Kwa upande mwingine bwa Ryoba na wenzake wana kazi kubwa sana kuelimisha jamii yetu ili watu waelewe kuwa wamenasa kwenye mtego na hivyo wanapaswa kujinasua. Mungu wajalie Watanzania UELEWA ili nchi hii iende kwenye mwelekeo unaotakiwa.

Hapo umenena mkuu
 
rais kikwete akiwa kigoma juzi kasema nchi ataikabidhi kwa ccm 2015, ni hatari kubwa sana akilazimisha iwe hivyo.
 
Hakuna kitu kibaya kama kutojitambua.I wish watanzania wengi wajiunge kwenye Jamii Forum ili wapate kuelimika na kupata uelewa wa upande wa pili.

Zomba tunahitaji viongozi waadilifu kwenye chama chetu kinachotawala hatuwezi kuwapata na kama wapo basi watakuwa waoga.

Zomba tuanze na UTANZANIA au UTAIFA kwanza vyama baadaye,tuombe Mungu tupate kiongozi /Rais makini,muadilifu,mcha mungu anayemuogopa mungu,siyo mdini,anayelipenda na yuko tayari kulifia taifa lake bila kujali dini,kabila au chama anachotokea.

Vyama vinaweza kufa lakini Tanzania/Tanganyika haiwezi kufa au kuondoka kwenye uso wa dunia.Tanzania Kwanza vyama baadaye
 
Maswali mazuri sana haya; Wahenga hawaku kosea kusema "Mdharau Mwiba humchoma". Zomba acha unazi kwenye hoja zinazohitaji tafakari. Hili ni kwa mslahi ya chama chako na amani ya Taifa letu...Hata kama sio 2015 ila hamna dola iliyokuwa kubwa kama USSR, sasa iko wapi?
 
Hakuna kitu kibaya kama kutojitambua.I wish watanzania wengi wajiunge kwenye Jamii Forum ili wapate kuelimika na kupata uelewa wa upande wa pili.

Zomba tunahitaji viongozi waadilifu kwenye chama chetu kinachotawala hatuwezi kuwapata na kama wapo basi watakuwa waoga.

Zomba tuanze na UTANZANIA au UTAIFA kwanza vyama baadaye,tuombe Mungu tupate kiongozi /Rais makini,muadilifu,mcha mungu anayemuogopa mungu,siyo mdini,anayelipenda na yuko tayari kulifia taifa lake bila kujali dini,kabila au chama anachotokea.

Vyama vinaweza kufa lakini Tanzania/Tanganyika haiwezi kufa au kuondoka kwenye uso wa dunia.Tanzania Kwanza vyama baadaye

Take my like.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom