Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 597
- 1,278
Beki wa Manchester city Aymeric Laporte mzaliwa wa Ufaransa ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Uhispania kitakachoshiriki mashindano ya Euro 2022.
Mwaka 2019 beki huyo aliitwa kwenye kikosi cha Ufaransa kwa mara ya kwanza lakini aliondolewa kutokana na majeruhi.
Pia nahodha wa timu hiyo Sergio Ramos ameachwa kutokana na majeruhi.
Mwaka 2019 beki huyo aliitwa kwenye kikosi cha Ufaransa kwa mara ya kwanza lakini aliondolewa kutokana na majeruhi.
Pia nahodha wa timu hiyo Sergio Ramos ameachwa kutokana na majeruhi.