Ticha
Senior Member
- Aug 26, 2007
- 135
- 8
Katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Rais ni JK
Makamu wake ni Dkt Shain
Namalizia na Mtoto wa Mkulima kama Waziri Mkuu.
Naomba uiendeleze safu yetu hiyo hadi kufikia Mwenyekiti wa serikali yako ya mtaa kama unamfahamu.
Na ni serikali ya Muungano wa Nchi mbili.
JE RAISI WA ZANZIBAR NI NANI KATIKA SERIKALI HIYO YA MUUNGANO?
Rais ni JK
Makamu wake ni Dkt Shain
Namalizia na Mtoto wa Mkulima kama Waziri Mkuu.
Naomba uiendeleze safu yetu hiyo hadi kufikia Mwenyekiti wa serikali yako ya mtaa kama unamfahamu.
Na ni serikali ya Muungano wa Nchi mbili.
JE RAISI WA ZANZIBAR NI NANI KATIKA SERIKALI HIYO YA MUUNGANO?