Mwaka ndio unakaribia kuisha,ingawa mimi sikujiunga j.f muda mrefu,kuna baadhi ya story,zinafurahisha,zinaelimisha na zinasikitisha.Najua wapo wengi,lakini kwa upande wangu awards za mwisho wa mwaka nawachagua watu wafuataoa sophy,mama g,preta,mwanakijiji,kaizer,bwabwa,na acid.Juu ya wote niliowataja,special award of the year 2010 nampa kwa moyo wangu mkunjufu kabisa imuendee Nyani ngabu.Nyani ngabu,popote pale ulipo,pokea award kutoka kwa kisukari.Sababu ya special award hii kwako,kila ninaposoma comments zako ni mtu ambae unakuwa muwazi sana,huwa napenda sana mtu ambae yupo muwazi.