Arch.katunzi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 250
- 143
Kwa wale wahitimu wa diploma ambao hatujapata AVN kutoka NACTE kutokana na vyuo kuchelewa ku upload matokeo ya diploma kwenye system ya NACTE. System ya Ku upload matokeo NACTE, itafunguliwa tar.15/09/2020 kwa mujibu wa calendar yao. Na TCU wanaanza udahili wa vyuo tar. 31/08/2020, kwa mujibu wa calendar.
Kwa wale mliopitia njia hii kuna uwezekano wa kupata AVN on time ili kufanya application za vyuo kwa mwaka huu?Mbinu gani itumike ili kupata AVN mapema baada ya kufunguliwa system za NACTE kuruhusu vyuo ku upload matokeo kwenye mfumo?
Ushauri wenu ni muhimu sana ili tuweze kupata uhalali wa ku join bachelor degree kwa mwaka huu.
Kwa wale mliopitia njia hii kuna uwezekano wa kupata AVN on time ili kufanya application za vyuo kwa mwaka huu?Mbinu gani itumike ili kupata AVN mapema baada ya kufunguliwa system za NACTE kuruhusu vyuo ku upload matokeo kwenye mfumo?
Ushauri wenu ni muhimu sana ili tuweze kupata uhalali wa ku join bachelor degree kwa mwaka huu.