Natafuta matibabu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 262
- 301
Inategemeana na sifa zako.Hv hapo kinachokuwa attached ni cheti cha form iv au diploma(transcript)..?
Kama uliingia Diploma kupitia Certificate, utatakiwa uweke Cheti cha Certificate, then matokeo ya Diploma.
Kama uliingia Diploma kwa matokeo ya form IV hapo haina haja ya kuweka cheti cha form four maana matokeo watayapata NECTA baada ya kuweka namba ya mtihani, then utaweka matokeo ya Diploma.
Hivyo ndivyo nilivyoelewa hiyo sehemu