Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
madaktari nao wameanza kuwa wanasiasa eeeh! gomeni tumechoka na kelele zenu mnatutiiisha!!!! tutaenda kwa waganga wa jadi sasa, kitu kidogo mnataka kugoma duuu!
hujui maana ya siasa!
madaktari nao wameanza kuwa wanasiasa eeeh! gomeni tumechoka na kelele zenu mnatutiiisha!!!! tutaenda kwa waganga wa jadi sasa, kitu kidogo mnataka kugoma duuu!
[COLOR=#b22222 said:[/COLOR]
Mh pinda kutoa tamko la serikali kesho.
nawasilisha...
Kama majadiliano yalikuwa yanafanyika kwa siri, hatuwezi kujua nini zilikuwa contents za makubaliano hayo na for the same reason it doesnt make sense kuunga mkono mgomo. Kwanza madaktari walete details za majadiliano yao na serikali. Wamejadili nini, wameshindwana wapi?