kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Ile Vita ya ufisadi bado inaendelea ambapo kinara na mtuhumiwa mkuu wa rushwa Bwana RA ameonekana kwenye viunga vya lumumba akikabidhi baadhi ya Mali zake kwa chama Cha mapinduzi ikiwa ni njia mojawapo ya kujisogeza karibu na utawala huu mpya Kama alivyofanya kwa tawala zilizopita.
Kwa muda mfupi aliorejea nchini amefanikiwa kuwatoa gerezani baadhi ya waalif na bado mjakati unaendelea.
Ni matumaini ya wengi kuwa atafanikisha pia biashara mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuisadia nchi kumrejeshea gharama anazotumia kufanikisha malengo yake.
Ashukuriwe aliyesema ukila na kipofu usimshike mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muda mfupi aliorejea nchini amefanikiwa kuwatoa gerezani baadhi ya waalif na bado mjakati unaendelea.
Ni matumaini ya wengi kuwa atafanikisha pia biashara mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuisadia nchi kumrejeshea gharama anazotumia kufanikisha malengo yake.
Ashukuriwe aliyesema ukila na kipofu usimshike mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app