CCM haina nia ya dhati kuwaletea wananchi na nchi yao maendeleo.Mmnetangaza wenyewe kuwa mmehitimisha ukarabati wa miundo mbinu ili umeme upatikane vizuri. Tunataka tusisikie habari ya mgao na umeme kukatika katika hovyo imeisha kama enzi za awamu ya tano.
View attachment 2115389
Mpaka sasa Wana draft letter zenye sababu Kama 1000 its a matter ya kuchagua ni siku ya mvua waseme miundombinu imepigwa radio au upepo mkali, au jua Kali, au kelele zimezodi, sauti zipungue , ndugai amejiuzulu, Yani basi tu japo watukere tu 😃Mgao hautakoma ila sababu ya mgao itabadilika
CCM haina nia ya dhati kuwaletea wananchi na nchi yao maendeleo.
Miradi ya maendeleo ipo ili watu wapige hela.
CCM haina nia ya dhati kuwaletea wananchi na nchi yao maendeleo.
Miradi ya maendeleo ipo ili watu wapige hela.
Itapungua miundo mbona zamani sana inabidi periodic maitanance tuache siasa kwenye mambo ufundiMmnetangaza wenyewe kuwa mmehitimisha ukarabati wa miundo mbinu ili umeme upatikane vizuri. Tunataka tusisikie habari ya mgao na umeme kukatika katika hovyo imeisha kama enzi za awamu ya tano.
View attachment 2115389
CCM wenzakoMmnetangaza wenyewe kuwa mmehitimisha ukarabati wa miundo mbinu ili umeme upatikane vizuri. Tunataka tusisikie habari ya mgao na umeme kukatika katika hovyo imeisha kama enzi za awamu ya tano.
View attachment 2115389
Daraja la TANZANITE anasifiwa bibi ushungi, yaani ni mambo ya ajabu snKati ya mambo ninayopinga ni huo uongo kwamba hakuna ukarabati uliofanyika awamu ya tano, unaotumika kuhalalisha kuondolewa kwa waziri wa nishati na kutenguliwa kwa mkurugenzi wa Tanesco. Wenye macho wanaona kuwa miradi ya kinyerezi, mradi wa miligoti ya concrete, umeme wa REA pamoja na miradi mingine mingi iliibuliwa nakutekelezwa awamu ya tano.
Kama lengo nikurudusha fadhila kwa wazee wa CCM kwa kuwapa vyeo watoto wao, basi itumike njia nyingine pasipo kuwavunjiwa wengine heshima yao na legacy yao.
Nasikia kuna mradi mkubwa tu uliobuniwa awamu ya tano wakutengeneza nguzo za high tension za chuma na shirika moja la umma na uko mbioni kukamilika.
Jitihada ni nyingi na hazipimiki tuache upotoshaji kwenye haki toeni haki
Wengine Wana wenge la awamu ya Tano🏃Mbona hamuiamini serikali yenu!
Ova
Nyahuni kabisaWahuni!!!
Inasikitisha sana, kama Rais anapotoshwa na system basi hata kwa hili amepotoshwa. Leo kimara maji tunaona mara moja moja, baada ya kifo cha JPM mito imekauka, sahivi bonde la Ruvu limejaa maji na mvua zinanyesha ila maji hakuna...Daraja la TANZANITE anasifiwa bibi ushungi, yaani ni mambo ya ajabu sn