Kwani unasikia habari za corona? Je haipo au mtu amekataza kutangaza?Haina maana kuwa tuko vizuri sana Ila tumepiga hatua. Ukiacha hiyo ripoti ya mwaka 2018, tuseme tuu ukweli.
Unasikia ajali za mabasi Kama ilivyokuwa mwanzo?
Unasikia ajali za bodaboda Kama ilivyokuwa mwanzo?
Sibishani na takwimu Ila namuaplai mzee Kikwete, za kuambiwa nachanganya na zangu