Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,205
- 4,695
Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR) awamu wa kwanza kutoka Dar es salaam hadi Morogoro umekamilika kwa 77.91%
Tuliahidi & Tumetekeleza
Tuliahidi & Tumetekeleza
huu mradi utaisha kabla ya 2025.Kwamba Rais wa sasa atakuja kuzindua kama raisi mstaafu???? Hii itawezekana kweli
Watu gani hao ?Kwamba Rais wa sasa atakuja kuzindua kama raisi mstaafu???? kwa sababu nimesikia watu wanasema ataongoza muhula mmoja.Hii itawezekana kweli?
Waathirika wa vyeti fake utawajua tuMbayaaaaaa
Mbayaaaaaa
hizi ni picha halisi au za kubuni
Kipande Cha dar morogoro kimefikia 78% kwa kujengwa kwa miaka mitano.sasa kuanzia morogoro Hadi mwanza na kufika kigoma ili kukamilika kwa 200% mtatumia miaka 20. Kwa mantiki hiyo ataongezewa muda ili akamilishe mradi huu makubwa. Tujiandae kwa Hilo kisaikologia.Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR) awamu wa kwanza kutoka Dar es salaam hadi Morogoro umekamilika kwa 77.91%
Tuliahidi & TumetekelezaView attachment 1546841View attachment 1546842View attachment 1546843View attachment 1546844
SiwajuiWatu gani hao ?
Mkuu hizo ni picha halisi.hizi ni picha halisi au za kubuni
Hii mbona Kama Spain au?hizi ni picha halisi au za kubuni
Mkuu hizo ni picha halisi.
Nilikuwa hapo nimeona kwa macho yangu, niliogopa kupiga picha bila ruhusa huenda ningezileta kabla ya huyu mdau.
Kituo cha Ruvu Station pia kipo tayari kama hicho, Pugu pia kinakaribia hatua hiyo unaweza kwenda kukiona kama upo Dar.
Unafoka auKwamba Rais wa sasa atakuja kuzindua kama raisi mstaafu???? kwa sababu nimesikia watu wanasema ataongoza muhula mmoja.Hii itawezekana kweli?
Hata sijui