Awamu ya Tano ilikamata na kubambika kesi, awamu ya sita inafunga

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Kama mtakumbuka mwaka jana DPP alianza kufuta kesi zote walizofunguliwa watu wakubwa nchini wakiwemo wanachama wa chama Cha mapinduzi. Hadi Sasa pamoja na ubadhirifu wote uliofanyika hakuna hukumu iliyotolewa Kwa Kiongozi yeyote wa chama Cha mapinduzi inayomfanya akae kifungoni. Wakitenda wanaachowa au kulipa faini.

Wakatoa hayo yakifanyika wanachama wa Chadema wameanza kuonja madhila ya HAKI Kwa kuhukumiwa vifungo visivyo na utu. Tulisikia huko Mbeya kijana kahukumiwa maisha jela akidaiwa kuchom nyumba ya mwanaccm

Leo tumesikia huko Lindi wanachama wanne wa Chadema wamehukumiw miaka nane jela. Tuliona Mdude akipishwa njia Hii Hii na mahakama zetu na Juzi tumeshuhudia Mbowe akiambiwa ana kesi ya kujibu.

Tukumbuke Mbeya anatoka spika na Linda anatoka PM na Waziri wa habari na watu Hawa walipita kwenye UCHAGUZI Kwa njia zisizoelezeka. Tunawafunga watu, Wana familia, watoto wanateseka na familia zao zinateseka. Lakini wakati tunafanya haya tunazo tuhuma lukuki nyuma yetu na hakuna wakutugusa. Then tunatoka tunaomba amani na mshikamano.

Huu ukatili unaoendelea nchini kupitia mahakama siyo mzuri kwa kesho yetu. Matajiri na wanafamilia wenye mamlaka na fedha wanatumia fedha kumalizana na mahakama lakini maskini Yao jela.

Ninaumia sana kwamba Tanzania maskini wanaoelekezwa kuishi jela wanaongezeka na mahakimu wanaohusika ni ndugu zetu, mawakili wanaotamka maneno iwe fundisho kwa wengine ni watoto wetu Tena wadogo....hawa watu wakizoeshwa ukatili wa mamlaka huko uzeeni watatufanyaje?
 
Taifa litakuja kuzalisha Vijana wenye kiu ya visasi. Wakati huo ukifika, hakuna bajeti itatosheleza kuwazuia.

Hata hivyo, wakati mwingine Mwenyezi Mungu huacha haya yatokee ili kizazi chake kiondokane na maadui. Hakuna jambo linalodumu milele, ipo siku watesi watakuwa historia.
 
Beatrice Umeandika kintellectual, kibaya zaidi ..watu wamethamini sana leo kuliko kufikiri juu ya kesho ya vizazi vyao. Ukifuatilia watu walioko mahabusu wengi wapo pale kwa kesi ama tuhuma za Hovyo h0vyo kabsaaa. Unatafakari mpaka unashangaa hivi Hawa wasomi wanaoendesha mashitaka Je walisoma shule na vyuo gani? Tafiti zangu..ukimueka kizuizini mtu mmoja ujue umetesa watu sita nyuma. Hivi wanawaza waKitumia mbongo kweli? Je Shutuma za hovyo hovyo unaona bora 6people wateseke??
 
Kama mtakumbuka mwaka jana DPP alianza kufuta kesi zote walizofunguliwa watu wakubwa nchini wakiwemo wanachama wa chama Cha mapinduzi. Hadi Sasa pamoja na ubadhirifu wote uliofanyika hakuna hukumu iliyotolewa Kwa Kiongozi yeyote wa chama Cha mapinduzi inayomfanya akae kifungoni. Wakitenda wanaachowa au kulipa faini.

Wakatoa hayo yakifanyika wanachama wa Chadema wameanza kuonja madhila ya HAKI Kwa kuhukumiwa vifungo visivyo na utu. Tulisikia huko Mbeya kijana kahukumiwa maisha jela akidaiwa kuchom nyumba ya mwanaccm

Leo tumesikia huko Lindi wanachama wanne wa Chadema wamehukumiw miaka nane jela. Tuliona Mdude akipishwa njia Hii Hii na mahakama zetu na Juzi tumeshuhudia Mbowe akiambiwa ana kesi ya kujibu.

Tukumbuke Mbeya anatoka spika na Linda anatoka PM na Waziri wa habari na watu Hawa walipita kwenye UCHAGUZI Kwa njia zisizoelezeka. Tunawafunga watu, Wana familia, watoto wanateseka na familia zao zinateseka. Lakini wakati tunafanya haya tunazo tuhuma lukuki nyuma yetu na hakuna wakutugusa. Then tunatoka tunaomba amani na mshikamano.

Huu ukatili unaoendelea nchini kupitia mahakama siyo mzuri kwa kesho yetu. Matajiri na wanafamilia wenye mamlaka na fedha wanatumia fedha kumalizana na mahakama lakini maskini Yao jela.

Ninaumia sana kwamba Tanzania maskini wanaoelekezwa kuishi jela wanaongezeka na mahakimu wanaohusika ni ndugu zetu, mawakili wanaotamka maneno iwe fundisho kwa wengine ni watoto wetu Tena wadogo....hawa watu wakizoeshwa ukatili wa mamlaka huko uzeeni watatufanyaje?
Ndiyo kazi ya mahakama hiyo, ndiyo maana mahakama zinaebdelea kujengwa!
 
Kama mtakumbuka mwaka jana DPP alianza kufuta kesi zote walizofunguliwa watu wakubwa nchini wakiwemo wanachama wa chama Cha mapinduzi. Hadi Sasa pamoja na ubadhirifu wote uliofanyika hakuna hukumu iliyotolewa Kwa Kiongozi yeyote wa chama Cha mapinduzi inayomfanya akae kifungoni. Wakitenda wanaachowa au kulipa faini.

Wakatoa hayo yakifanyika wanachama wa Chadema wameanza kuonja madhila ya HAKI Kwa kuhukumiwa vifungo visivyo na utu. Tulisikia huko Mbeya kijana kahukumiwa maisha jela akidaiwa kuchom nyumba ya mwanaccm

Leo tumesikia huko Lindi wanachama wanne wa Chadema wamehukumiw miaka nane jela. Tuliona Mdude akipishwa njia Hii Hii na mahakama zetu na Juzi tumeshuhudia Mbowe akiambiwa ana kesi ya kujibu.

Tukumbuke Mbeya anatoka spika na Linda anatoka PM na Waziri wa habari na watu Hawa walipita kwenye UCHAGUZI Kwa njia zisizoelezeka. Tunawafunga watu, Wana familia, watoto wanateseka na familia zao zinateseka. Lakini wakati tunafanya haya tunazo tuhuma lukuki nyuma yetu na hakuna wakutugusa. Then tunatoka tunaomba amani na mshikamano.

Huu ukatili unaoendelea nchini kupitia mahakama siyo mzuri kwa kesho yetu. Matajiri na wanafamilia wenye mamlaka na fedha wanatumia fedha kumalizana na mahakama lakini maskini Yao jela.

Ninaumia sana kwamba Tanzania maskini wanaoelekezwa kuishi jela wanaongezeka na mahakimu wanaohusika ni ndugu zetu, mawakili wanaotamka maneno iwe fundisho kwa wengine ni watoto wetu Tena wadogo....hawa watu wakizoeshwa ukatili wa mamlaka huko uzeeni watatufanyaje?
Inasikitisha sana!
 
Kwa hiyo Mbowe alikamatwa na kushtakiwa kesi ya ugaidi na serikali ya awamu ya tano?

Kipimo rahisi cha serikali ya awamu ya sita kilikuwa kwenye suala la Mbowe. Katika hilo Hangaya na Jiwe tunawaweka kwenye kikapu kimoja, wao ni wachawi wakubwa wa kuizika haki kwa kivuli cha kuitumia mahakama.
 
Hakuna Haki inayopatikana bila Gharama! Hizo ndizo gharama za demokrasia kwa nchi masikini.
 
Back
Top Bottom